masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwa siku tatu sasa huduma ya Mpesa imekufa!
Tokea jumamosi nimekuwa nikijaribu kutumia huduma hii bila mafanikio.
Cha kushangaza waendeshaji wa huduma hiyo wako kimya as if kila kitu kiko sawa!
Wadau ni mimi tu au kuna wengine wenye tatizo kama langu?
Tokea jumamosi nimekuwa nikijaribu kutumia huduma hii bila mafanikio.
Cha kushangaza waendeshaji wa huduma hiyo wako kimya as if kila kitu kiko sawa!
Wadau ni mimi tu au kuna wengine wenye tatizo kama langu?