Huduma ya 'salary slip' mtandaoni imeondolewa?

Huduma ya 'salary slip' mtandaoni imeondolewa?

Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Hii taarifa umeitoa wapi?
 
Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
Utauwa watu mkuu... Mambo nyeti hayaa!!
 
Mfumo umerudi na Kuna mabadiliko ,tazama salary slip yako upande wa kushoto juu Kuna namba zimeandikwa pale Kama zimebadilika subiria mshahara mpya mwezi huu kwa maana nyingine unapanda daraja Kama zipo vile vile wewe chapa kazi utaonekana mwaka mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie msikilizenu huyu mje mlie, hakuna ongezeko la mshahara aiseee ni kwa wale wenye vigezo tu!
 
Hiyo mpendwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1810676
Hapa vp nianze kupiga shamra shamra, sherehe na vifijo??? Au kuna balaa huko HESLB maana sitaki kwenda kuchek statement mpaka July ifike[emoji1]
IMG_20210607_085818.jpg


Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Hawaaminiki wale, naeza enda nikakuta mlima. Ikiwa kweli nitafurahi sana, niwadai loan clearance letter asije akaibuka mwingine turudi Misri

Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
Unaenda kutafutako nini jamni!, salary slip si ishaonesha hela kwishnei?? We print nyiingi kuonesha trend ya ulipaji weka kwenye file!!
 
Unaenda kutafutako nini jamni!, salary slip si ishaonesha hela kwishnei?? We print nyiingi kuonesha trend ya ulipaji weka kwenye file!!
Ukipata clearance letter ndio safi kukata mzizi wa fitna.. Anything can change at any time [emoji355][emoji12]

Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Ukipata clearance letter ndio safi kukata mzizi wa fitna.. Anything can change at any time [emoji355][emoji12]

Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
Hao watu hawaishi kukupa suprise, go there and you will see, utakutana na deni lipo limekaa linakusubiri![emoji2960] Better kuendelea na maisha mengine tu!!!
 
Hao watu hawaishi kukupa suprise, go there and you will see, utakutana na deni lipo limekaa linakusubiri![emoji2960] Better kuendelea na maisha mengine tu!!!
Nitaenda July, nikikuta nadaiwa hata kama ni jero, wallah silipi nakula kona kimya kimya.

Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom