Huduma ya Unlimited Internet kwa shule na vituo vya afya vya Serikali

Huduma ya Unlimited Internet kwa shule na vituo vya afya vya Serikali

Optimistic_

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
2,347
Reaction score
1,850
TANGAZO TANGAZO

Hl
IMG-20241228-WA0074(2).jpg
IMG-20241212-WA0036.jpg
Habari njema kwa vituo vya afya au shule za serikali

Kuna huduma ya internet kutoka Vodacom, unachagua package mnawezeshewa.

Huduma hii kuwezeshewa ni bure kabisa.

Vigezo
✅Tin namba ya shule/kituo cha afya cha serikali
✅Kitambulisho cha muwakilishi anaefuatilia
✅ Barua ya kuomba huduma
✅ Certificate of registration ya kituo au namba ya usajili wa kituo
✅Namba ya Vodacom ya kuwezesha.

Gharama za vifurushi UNLIMITED
✅10mbps.......60000/=
✅20mbps......80000/=
✅30mbps......90000/=
✅50mbps.....150000/=

Malipo mnakua mnalipa kila mwisho wa mwezi mnatumiwa Invoice na Vodacom

HUDUMA HII KULETEWA NI BUUURE KABISA

Nipigie au tuma ujumbe Whatssap 0765991551
 
Aisee tena kumbe unatumia alafu ndio unalipa🤦🏿‍♂️, kwanini hii huduma isingekuwa ni kwa wateja wote...
 
Wewe ndo Vodacom mwenyewe au ?..mbna unasema upigiwe ?
 
Back
Top Bottom