Huduma za Afya JKCI Outpatients ziboreshwe

Huduma za Afya JKCI Outpatients ziboreshwe

Inanambo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,039
Reaction score
2,840
Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari.

Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7. Unaandikiwa kipimo unaendafoleni dirishani kulipia. Ukishalipia unaenda foleni kuandikishwa kwenye Counter book. Unapewa namba 25. Unaambiwa kasubiri uitwe Kipimo.

Saa 10 tayari kipimo bado mpo wengi. Sasa 11 bado kupimwa. Mwisho unakata tamaa siku imeisha hujapata tiba. Na Daktari anasubiri majibu ya Kipimo muda wake umefika anaondoka. Hii Shida hapa mpaka lini?

Tafadhali msituchoshe Wagonjwa Kwa taratibu zenu za Kizamani.
 
Si ipo ndani ya muhimbili mkuu? Kama amekuwa promoted tu
Big no, ukisikia Taasisi ni kitu ambacho kinajitegemea na kina bodi yake inapanga kila kitu, Mhubili ni nationa hospital ina matawi machache kama Mloganzila brother, JKCI na MOI zinajitegemea 100% ndiyo maana wakurugenzi wake wanateuliwa na Rais moja kwa moja
 
Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari.

Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7. Unaandikiwa kipimo unaendafoleni dirishani kulipia. Ukishalipia unaenda foleni kuandikishwa kwenye Counter book. Unapewa namba 25. Unaambiwa kasubiri uitwe Kipimo.

Saa 10 tayari kipimo bado mpo wengi. Sasa 11 bado kupimwa. Mwisho unakata tamaa siku imeisha hujapata tiba. Na Daktari anasubiri majibu ya Kipimo muda wake umefika anaondoka. Hii Shida hapa mpaka lini?

Tafadhali msituchoshe Wagonjwa Kwa taratibu zenu za Kizamani.
hi nchi ni hatari,nasikia kumuona daktari wa moyo Ni laki mbili? Kwakweli mungu atunusuru tusiumwe maradhi makubwa
 
Big no, ukisikia Taasisi ni kitu ambacho kinajitegemea na kina bodi yake inapanga kila kitu, Mhubili ni nationa hospital ina matawi machache kama Mloganzila brother, JKCI na MOI zinajitegemea 100% ndiyo maana wakurugenzi wake wanateuliwa na Rais moja kwa moja
Bora huduma za MOI zimeimarika. Hakuna usumbufu kama JKCI. Ulifika unatoa Bima Yako au Cash wanakusajili. Unaambiwa nenda Mlango namba X Kwa Dr Y utaitwa namba Yako ni 10. Unakaa unachat chat unaitwa kumuona Doctor. Ukitumwa Vipimwa mara Moja unafanyiwa na unarudisha Kwa Doctor. Siku hiyo hiyo unapata Ushauri, Diagnosis, tiba na Dawa. Siyo JKCI. Tangu asubuhi Saa 12 tuko hapa Watu 15 kusubiri kipimo hadi Saa hii wameitwa 7 tuu. Duuh huu utaratibu wao ni 0. Unatuumiza Wagonjwa. Daktari wa kupokea Majibu muda wake wa Kazi umeshaisha hadi Kesho saa 8 mchana.
 
Big no, ukisikia Taasisi ni kitu ambacho kinajitegemea na kina bodi yake inapanga kila kitu, Mhubili ni nationa hospital ina matawi machache kama Mloganzila brother, JKCI na MOI zinajitegemea 100% ndiyo maana wakurugenzi wake wanateuliwa na Rais moja kwa moja
Oh! OK sikuwa najua hilo mkuu.

Asante kwa kunifahamisha mkuu.
 
Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari.

Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7. Unaandikiwa kipimo unaendafoleni dirishani kulipia. Ukishalipia unaenda foleni kuandikishwa kwenye Counter book. Unapewa namba 25. Unaambiwa kasubiri uitwe Kipimo.

Saa 10 tayari kipimo bado mpo wengi. Sasa 11 bado kupimwa. Mwisho unakata tamaa siku imeisha hujapata tiba. Na Daktari anasubiri majibu ya Kipimo muda wake umefika anaondoka. Hii Shida hapa mpaka lini?

Tafadhali msituchoshe Wagonjwa Kwa taratibu zenu za Kizamani.
Those procedures are too local for patients...Poleni sana.
 
Inatakiwa wawe na online booking ili kila mtu afike kwenye muda aliopewa na madaktari waheshimu ratiba waliyoweka.

Poleni mlioteseka.
Kiukweli kwa upande wa Madaktari hakuna tatizo. Maama wanaanza na vikao vya asubuhi, then wafanye round at the same wanafundisha Madaktari wengine wa Masters, undergrsduates na PhDs then akimaliza ndio aende kuhudumia wagonjwa wa Outpatient.

Kumbuka Dr huyo huyo ana maisha pia jioni anatakiwa aende Aga Khan naye apate chochote sio tu aishie kuona Akina Kigwangala na Madelu ndio wanasomesha watoto wao tu Feza Schools.
 
Tatizo sio kutoheshimu muda, tatizo madaktari kwa ujumla nchi hii ni wachache sana, wale bingwa ndio kama lulu, wanapatikana kwa manati.
Muongozo wa WHO ni daktari mmoja kwa wagonjwa 1000, bongo unaweza kukuta ni daktari mmoja kwa wagonjwa 15,000.
Inatakiwa wawe na online booking ili kila mtu afike kwenye muda aliopewa na madaktari waheshimu ratiba waliyoweka.

Poleni mlioteseka.
 
Ni hatari sana, kwa sehemu kubwa raia wake baada wanaishi kwa sababu ya kudra za nature tu.
hi nchi ni hatari,nasikia kumuona daktari wa moyo Ni laki mbili? Kwakweli mungu atunusuru tusiumwe maradhi makubwa
 
Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari.

Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7. Unaandikiwa kipimo unaendafoleni dirishani kulipia. Ukishalipia unaenda foleni kuandikishwa kwenye Counter book. Unapewa namba 25. Unaambiwa kasubiri uitwe Kipimo.

Saa 10 tayari kipimo bado mpo wengi. Sasa 11 bado kupimwa. Mwisho unakata tamaa siku imeisha hujapata tiba. Na Daktari anasubiri majibu ya Kipimo muda wake umefika anaondoka. Hii Shida hapa mpaka lini?

Tafadhali msituchoshe Wagonjwa Kwa taratibu zenu za Kizamani.
ndiyo Tanzania ilivyo. hata ukiwa na issue benki ujue siku itapotea.
 
Tatizo sio kutoheshimu muda, tatizo madaktari kwa ujumla nchi hii ni wachache sana, wale bingwa ndio kama lulu, wanapatikana kwa manati.
Muongozo wa WHO ni daktari mmoja kwa wagonjwa 1000, bongo unaweza kukuta ni daktari mmoja kwa wagonjwa 15,000.
Achilia mbali uchache wa madktari hilo ni jambo lingine,muda wa wagonjwa pia hauheshimiwi.
Wewe kama unajua idadi fulani ya wagonjwa hutoweza kuwamaliza ni kwa nini unawaweka siku nzima hapo halafu jioni ikifika unawaambia muda wako umeisha uje kesho.
Kama unajua uwezo wako ni kuhudumia wagonjwa 30 kwa siku weka nao appointment wagonjwa hao 30 na wengine uwape appointment siku nyingine ili wasipoteze muda wao.
Unasema daktari ana sehemu nyingi za kwenda kutafuta pesa,kwa hiyo wagonjwa ni halali kupoteza muda wao?Au wagonjwa hawana miradi yao ya kutafuta pesa?
 
Daktari nchi hii hana control ya idadi ya wagonjwa anaowahudima, viko vitengo vinvyohusika kupanga hizo appointments za wagonjwa. Daktari ukifika muda wake wa kuondoka kazini lazima aondoke akaendelee na maisha yake mengine
Haya malalamiko yafikishwe kwenye hivyo vitengo vinavyohusika na appointments za wagonjwa.
Achilia mbali uchache wa madktari hilo ni jambo lingine,muda wa wagonjwa pia hauheshimiwi.
Wewe kama unajua idadi fulani ya wagonjwa hutoweza kuwamaliza ni kwa nini unawaweka siku nzima hapo halafu jioni ikifika unawaambia muda wako umeisha uje kesho.
Kama unajua uwezo wako ni kuhudumia wagonjwa 30 kwa siku weka nao appointment wagonjwa hao 30 na wengine uwape appointment siku nyingine ili wasipoteze muda wao.
Unasema daktari ana sehemu nyingi za kwenda kutafuta pesa,kwa hiyo wagonjwa ni halali kupoteza muda wao?Au wagonjwa hawana miradi yao ya kutafuta pesa?
 
Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari.

Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7. Unaandikiwa kipimo unaendafoleni dirishani kulipia. Ukishalipia unaenda foleni kuandikishwa kwenye Counter book. Unapewa namba 25. Unaambiwa kasubiri uitwe Kipimo.

Saa 10 tayari kipimo bado mpo wengi. Sasa 11 bado kupimwa. Mwisho unakata tamaa siku imeisha hujapata tiba. Na Daktari anasubiri majibu ya Kipimo muda wake umefika anaondoka. Hii Shida hapa mpaka lini?

Tafadhali msituchoshe Wagonjwa Kwa taratibu zenu za Kizamani.
Nendeni India, acheni kulialia
 
Back
Top Bottom