BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Wakuu habari,
Naomba kujua kama huduma.za IVF zimeanza kutolewa na kwa gharama ipi maana nahitaji kupata mtoto na mwenza wangu ambae imethibitika mirija imeziba.
Najua zipo hospital binafsi zinafanya ila gharama zao nasikia ni kubwa mno.
Naomba kujua kama huduma.za IVF zimeanza kutolewa na kwa gharama ipi maana nahitaji kupata mtoto na mwenza wangu ambae imethibitika mirija imeziba.
Najua zipo hospital binafsi zinafanya ila gharama zao nasikia ni kubwa mno.