Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Je wewe ni Mjasiriamali unayetaka kurasimisha Biashara yako
Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa kuisajili.Tutakupatia huduma zifuatazo kwa Gharama nafuu:
Karibuni Sana
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na kuzitumia kwa ajili ya kukuza biashara zao na kukuza faida.Lengo letu ni kuwasaidi wafanyabiasha wadogo na wakati kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa biashara zao ili ziendani na dunia ya kisasa kwa kuwawezesha kufikia zana za kisasa,utaalamu wa kisasa na teknolojia katika kuendesha biashara zao.
Tulianza kutoa huduma Mwaka 2016 na tunafanya kazi kwa kutumia mbinu za kitaalamu na za kisasa.
Masoko Consultant Tumeanzisha Kitengo maalum kwa ajili ya kukusaidia katika kufanya Mchakato wa Kurasimisha Biashara yako kwa kuisajili.Tutakupatia huduma zifuatazo kwa Gharama nafuu:
- Kwanza tutakushauri kuhusu muundo wa biashara yako faida na hasara pamoja fursa mbalimbali
- Pili tutakufanyia utafiti na ushauri wa Jina la Biashara yako kwa kuzingatia vigezo vya SOKO
- Tutakufanyia Taratibu zote za usajili kuanzia Uandaaji wa Nyaraka Mpaka Kukamilika kwa Usajili pamoja na leseni
- Tutakuandikia Company Profile ya Kisasa kwa Lugha ya Kiingereza na Kiswahili
- Tutakutengenezea Website ya kisasa kwa ajili ya Biashara na huduma zako.
- Tutakutengenezea,Logo,Business Card,Letter Head pamoja na Nyaraka nyingine za Kibiashara
- Tutakupatia Mfumo wa Kutunza kumbukumbu kwa njia ya Mtandao au kwenye Computer yako kwa ajili ya kusimamia Biashara yako
- Tutakufanyia Initial Marketing kwa Wateja wako watano wa Mwanzo ili kuwa na customer base ya kuanzia
- Pia tutakusaidia Mchakato wa Kufungua Bank Account kwa kutumia jina la Biashara yako Bure(Deposit Ya Kwako)
Karibuni Sana
Kuhusu SISI
Masoko Consulting ni Strategic Consulting Firm (Washauri waelekezi wa Kimkakati) ambao tunatumia mbinu za kisasa na utaalam wa kisasa katika kuwasaidia wateja wetu kutambua fursa na kuzitumia kwa ajili ya kukuza biashara zao na kukuza faida.Lengo letu ni kuwasaidi wafanyabiasha wadogo na wakati kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa biashara zao ili ziendani na dunia ya kisasa kwa kuwawezesha kufikia zana za kisasa,utaalamu wa kisasa na teknolojia katika kuendesha biashara zao.
Tulianza kutoa huduma Mwaka 2016 na tunafanya kazi kwa kutumia mbinu za kitaalamu na za kisasa.