Huduma za Kusajili Kampuni, Majina ya Biashara kupitia Brela

Tunaendelea kusajili wateja kwa Punguzo la 75% Wahi Mapema kabla ya punguzo kupita:Mawasiliano Whatsapp 0715323060 Email masokotz@yahoo.com
 
Kupata huduma zote hizo ni Tzs ngapi kwa ujumla!? Kwamimi ninaeanza na zero step.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
But hongeren kutoka kwenye kundi kubwa iliyotelekezwa ya kutafta ajra, kaz n kaz ilimrad usichekue cha mtu.
 
Mkuu nina kazi nitawacheki hivi soon. Munapatikana wapi hata hvyo
 
Dar kubwa kiongozi weka vizur hyo mfano jengo la xyz, frst floor. au bado ni startup biz tuwezeshe kukuza capital.
Mkuu Ofisi zetu ziko Kigamboni Vijibweni.Tuna field office Arusha na Moshi 99% ya kazi zetu ni remote + field work Kama unataka kuwekeza kwetu tuwasiliane tuone namna.

Karibu sana
 
Karibuni kwa wale wenye mitaji midogo kuanzia 500,000 na kuendelea fursa zipo nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…