nusu kaputi
Member
- Feb 1, 2014
- 54
- 122
Habari za Leo wananchi!
Hali inayoendelea katika nchi yetu katika HUDUMA afya baada ya kushuswa bei za Bima NHIF kutokana na Maboresha HUDUMA katika hospital zetu zinazidi kuwa mbaya, Hospital zimefunga baadhi ya HUDUMA na kupunguza watumishi wakujitolea.
Hali hii imeanza kuonekana Kwa Kasi hasa kuanzia mwezi Huu July, Hospital kubwa zinasuasua Kwenye HUDUMA za kibingwa kutokana uendeshaji umekuwa ni Changamoto, KCMC imepunguza watumishi, Mbeya nayo hivyohivyo, MoI imeshindwa vifaa vya kutumika Kwenye mifupa vina bei ,bima bei ya chini. Wakinamama kujifungua Kwa operation gharama kushuka Toka 600,000 mpaka 200,000, MNH na BMC wanapasua kichwa uendeshaji wa Hospital, Serikali hakuna hatua yoyote
Wagonjwa wakulipia wanapigwa kweli kweli Ili hizi hospitali ziweze kujiendesha
Mama Samia Hili swala linakuja Kwa Kasi kuchafulia, Washauri wako hawakupendi wanataka uangauke
Katibu wa afya Hafai
Waziri wa afya Angalia hili swala linakwenda kukundosha
Mkurugenzi wa NHIF angefukuzwa ni jipu
Kunauwezekano vifo kuongezea Kwa kukosa HUDUMA
Kizazi kitajicho kuasilika na usugu wa Dawa Kwa maana Maduka ya Madawa yakageuka kuwa hospital,
Hospital kulipisha bill kubwa wagonjwa Ili kujiendesha
HUDUMA Kwa mteja inaenda kufa, majibu tunayoyaona Tunaoenda kutibiwa majibu ni ovyo Kwa sababu watumishi wa afya Hawana motisha
Mungu inusulu nchii hii imekuwa kipofu
Pia soma:ACT Wazalendo: Vitita vipya NHIF vinageuza huduma ya afya kuwa biashara, Serikali ifute vitita vipya
Hali inayoendelea katika nchi yetu katika HUDUMA afya baada ya kushuswa bei za Bima NHIF kutokana na Maboresha HUDUMA katika hospital zetu zinazidi kuwa mbaya, Hospital zimefunga baadhi ya HUDUMA na kupunguza watumishi wakujitolea.
Hali hii imeanza kuonekana Kwa Kasi hasa kuanzia mwezi Huu July, Hospital kubwa zinasuasua Kwenye HUDUMA za kibingwa kutokana uendeshaji umekuwa ni Changamoto, KCMC imepunguza watumishi, Mbeya nayo hivyohivyo, MoI imeshindwa vifaa vya kutumika Kwenye mifupa vina bei ,bima bei ya chini. Wakinamama kujifungua Kwa operation gharama kushuka Toka 600,000 mpaka 200,000, MNH na BMC wanapasua kichwa uendeshaji wa Hospital, Serikali hakuna hatua yoyote
Wagonjwa wakulipia wanapigwa kweli kweli Ili hizi hospitali ziweze kujiendesha
Mama Samia Hili swala linakuja Kwa Kasi kuchafulia, Washauri wako hawakupendi wanataka uangauke
Katibu wa afya Hafai
Waziri wa afya Angalia hili swala linakwenda kukundosha
Mkurugenzi wa NHIF angefukuzwa ni jipu
Kunauwezekano vifo kuongezea Kwa kukosa HUDUMA
Kizazi kitajicho kuasilika na usugu wa Dawa Kwa maana Maduka ya Madawa yakageuka kuwa hospital,
Hospital kulipisha bill kubwa wagonjwa Ili kujiendesha
HUDUMA Kwa mteja inaenda kufa, majibu tunayoyaona Tunaoenda kutibiwa majibu ni ovyo Kwa sababu watumishi wa afya Hawana motisha
Mungu inusulu nchii hii imekuwa kipofu
Pia soma:ACT Wazalendo: Vitita vipya NHIF vinageuza huduma ya afya kuwa biashara, Serikali ifute vitita vipya