Pre GE2025 Huenda CHADEMA ya Lissu ikawa na nguvu Zaidi Wanaotaka Kuhama kisa Lissu na Heche ni Vinara Wajipe Muda CCM ni Chama Cha Upinzani baada ya Oct 2025

Pre GE2025 Huenda CHADEMA ya Lissu ikawa na nguvu Zaidi Wanaotaka Kuhama kisa Lissu na Heche ni Vinara Wajipe Muda CCM ni Chama Cha Upinzani baada ya Oct 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
CHADEMA ni chama ambacho tayari kimepita hatua ya kufa au kufifia kisa Kuna Mwanachama au wanachama kadhaa wameihama kwenye hili nadhani tunakubaliana wote.

Kuna kila dalili CHADEMA ikatwaa Dola kwenye Uchaguzi Mkuu huu wa Oct 2025,

Jambo hili lilitabiriwa na Mnajimu mashuhuri Duniani marehemu Shekh Yahya Hussein miaka 20 iliyopita, Ukweli ni kwamba matukio yote aliyoyatabiri yametimia vile vile !! Ikiwemo Ujio wa Rais Mwanamke Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na kutawala kwa muda mfupi kwa John Pombe Magufuli.

Kitendo Cha Tundu Lissu kumshinda Freeman Mbowe ni jambo la Kiroho sio kimwili Kwakuwa Freeman Mbowe alikuwa na nguvu karibu mara 10 zaidi ya Lissu lakini Mbowe alishindwa Uchaguzi ule wa kihistoria na Lissu aliyekuwa hana hata 30M ya kugharimia mkutano.

Ni vema wanaCHADEMA wakajua hii ilikuwa ni ishara kwao ambayo Mungu amewaonesha uwezo na nguvu zake endapo tu watamwamini na kumtegemea yeye peke yake katika mapambano yao watamshinda yeyote kwani hakutakuwa tena na Uchaguzi mgumu zaidi ya Uchaguzi ule wa ndani ya chama kati ya Mbowe na Lissu.

Wanaotaka Kuhama huenda kabisa wakapishani njiani na gari la Mshahara hivyo subira ya vuta heri na subra ni ibada ndefu.

Stronger. Together.
.
 
CHADEMA ni chama ambacho tayari kimepita hatua ya kufa au kufifia kisa Kuna Mwanachama au wanachama kadhaa wameihama kwenye hili nadhani tunakubaliana wote.

Kuna kila dalili huenda CHADEMA ikatwaa Dola kwenye Uchaguzi Mkuu huu wa Oct 2025,

Jambo hili lilitabiriwa na Mnajimu mashuhuri. marehemu Shekh Yahya Hussein miaka 20 iliyopita kwani matukio yote aliyoyatabiri yametimia vile vile ikiwemo Ujio wa Rais Mwanamke Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na kutawala kwa muda mfupi kwa John Pombe Magufuli.

Kitendo Cha Tundu Lissu kumshinda Freeman Mbowe ni jambo la Kiroho sio kimwili Kwakuwa Freeman Mbowe alikuwa na nguvu karibu mara 10 zaidi ya Lissu lakini Mbowe alishindwa Uchaguzi ule wa kihistoria,

Ni vema wanaCHADEMA wakajua hii ni ishara ambayo Mungu amewaonesha uwezo na nguvu zake endapo tu watamwamini na kumtegemea yeye peke yake katika mapambano yao watamshinda yeyote kwani hakutakuwa tena na Uchaguzi mgumu zaidi ya Uchaguzi ule wa ndani ya chama.

Wanaotaka Kuhama huenda kabisa wakapishani njiani na gari la Mshahara hivyo subira ya vuta heri na subra ni ibada ndefu.

Stronger. Together.
.
HAKUNA KUHAMA, TOTALLY AGREE, kaeni waropokaji........ila ni kujitenga na waropokaji...we will be onlookers!
 
HAKUNA KUHAMA, TOTALLY AGREE, kaeni waropokaji........ila ni kujitenga na waropokaji...we will be onlookers!
Maumivu yako yanafahamika. Mbowe kashinndwa kihalali.
 
Chadema kimekabidhiwa kwa watu maskini

Kampeni kuziendesha wakati wa uchaguzi mkuu kunahitaji pesa

Lofa Lisu na malofa wenzie ndani ya Chadema uchaguzi mkuu wameshashindwa mapema kabisa sababu hawana hela za kampeni
 
Ccm kutoka madarakani bado sana kwa vijana wapi Hawa wa Simba na yanga ccm ni dude Moja kubwa sana na Lina mzizi mipana sio rahisi kama unavyo fikili amka kijana ccm bado ipo ipo labda 2050 huko
 
CHADEMA ni chama ambacho tayari kimepita hatua ya kufa au kufifia kisa Kuna Mwanachama au wanachama kadhaa wameihama kwenye hili nadhani tunakubaliana wote.

Kuna kila dalili huenda CHADEMA ikatwaa Dola kwenye Uchaguzi Mkuu huu wa Oct 2025,

Jambo hili lilitabiriwa na Mnajimu mashuhuri. marehemu Shekh Yahya Hussein miaka 20 iliyopita kwani matukio yote aliyoyatabiri yametimia vile vile ikiwemo Ujio wa Rais Mwanamke Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na kutawala kwa muda mfupi kwa John Pombe Magufuli.

Kitendo Cha Tundu Lissu kumshinda Freeman Mbowe ni jambo la Kiroho sio kimwili Kwakuwa Freeman Mbowe alikuwa na nguvu karibu mara 10 zaidi ya Lissu lakini Mbowe alishindwa Uchaguzi ule wa kihistoria,

Ni vema wanaCHADEMA wakajua hii ni ishara ambayo Mungu amewaonesha uwezo na nguvu zake endapo tu watamwamini na kumtegemea yeye peke yake katika mapambano yao watamshinda yeyote kwani hakutakuwa tena na Uchaguzi mgumu zaidi ya Uchaguzi ule wa ndani ya chama.

Wanaotaka Kuhama huenda kabisa wakapishani njiani na gari la Mshahara hivyo subira ya vuta heri na subra ni ibada ndefu.

Stronger. Together.
.
We katibiwe kabla ya huo uchaguzi
 
Wanaotaka kuhama wahame tu, watakua ni watu wasiopenda mabadiliko na wanaopenda udikteta. CCM patawafaa sana.
 
Chadema Wana nguvu ambayo hawajui kuzitumia, kitengo Chao Cha Mambo ya nje na propaganda ni vitengo mfu.
Kuna vitendo na kauli za ajabu za CCM lakini wameshindwa kuzitumia Kama silaha yao ya kuonyesha udhaifu wa ccm.
Kitendo cha Dr. Slaa kuteswa na serikali kwa kunyimwa dhamana kitengo Cha Mambo ya nje kingetumia hiyo nafasi kunionyesha dunia CCM ni serikali ya namna gani na Samia ni mtu wa namna gani.
Dr. Slaa alikuwa balozi kwenye moja ya nchi wahisani wakubwa wa ccm, Chadema wangetumia kesi kufikirisha ujumbe kwa Sweden kuonyesha nchi ya Tanzania inaongozwa namna gani. Hii ingeamsha hasira hata kwa wananchi wa Sweden na kushinikiza serikali yao kuzuia misaada kwa serikali ya Tanzania.
 
CHADEMA ni chama ambacho tayari kimepita hatua ya kufa au kufifia kisa Kuna Mwanachama au wanachama kadhaa wameihama kwenye hili nadhani tunakubaliana wote.

Kuna kila dalili huenda CHADEMA ikatwaa Dola kwenye Uchaguzi Mkuu huu wa Oct 2025,

Jambo hili lilitabiriwa na Mnajimu mashuhuri. marehemu Shekh Yahya Hussein miaka 20 iliyopita kwani matukio yote aliyoyatabiri yametimia vile vile ikiwemo Ujio wa Rais Mwanamke Mhe Rais Samia Suluhu Hassan na kutawala kwa muda mfupi kwa John Pombe Magufuli.

Kitendo Cha Tundu Lissu kumshinda Freeman Mbowe ni jambo la Kiroho sio kimwili Kwakuwa Freeman Mbowe alikuwa na nguvu karibu mara 10 zaidi ya Lissu lakini Mbowe alishindwa Uchaguzi ule wa kihistoria,

Ni vema wanaCHADEMA wakajua hii ni ishara ambayo Mungu amewaonesha uwezo na nguvu zake endapo tu watamwamini na kumtegemea yeye peke yake katika mapambano yao watamshinda yeyote kwani hakutakuwa tena na Uchaguzi mgumu zaidi ya Uchaguzi ule wa ndani ya chama.

Wanaotaka Kuhama huenda kabisa wakapishani njiani na gari la Mshahara hivyo subira ya vuta heri na subra ni ibada ndefu.

Stronger. Together.
.
Kwahiyo sasa Chadema ni mwendo wa kwenda na utabiri sio? Ahahahahaha!!
Basi na utabiri wangu ni kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu HAKUATAKUWA na Chadema tena iliyokuwa inajulikana zaidi ya kuwa kama CHAUMA! Ahahahahaha!!
 
Kwahiyo sasa Chadema ni mwendo wa kwenda na utabiri sio? Ahahahahaha!!
Basi na utabiri wangu ni kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu HAKUATAKUWA na Chadema tena iliyokuwa inajulikana zaidi ya kuwa kama CHAUMA! Ahahahahaha!!
Ngoja tuone ila naamini ushindi upo
 
Kwahiyo sasa Chadema ni mwendo wa kwenda na utabiri sio? Ahahahahaha!!
Basi na utabiri wangu ni kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu HAKUATAKUWA na Chadema tena iliyokuwa inajulikana zaidi ya kuwa kama CHAUMA! Ahahahahaha!!

Hiyo Ahahahaha, maana yake nini? Kuna vitu ukiviandika vinakuonesha kwa watu wengine wewe ni wa akili ndogo kiasi gani!!
 
HAKUNA KUHAMA, TOTALLY AGREE, kaeni waropokaji........ila ni kujitenga na waropokaji...we will be onlookers!
Umeumia kweli aisee...huu uchungu wako na chuki yako kwa hakika si bure!
Pole sana Retired... sikuwahi kuwaza ungeumizwa kiasi hiki, kisa? mapenzi!
 
Hiyo Ahahahaha, maana yake nini? Kuna vitu ukiviandika vinakuonesha kwa watu wengine wewe ni wa akili ndogo kiasi gani!!
Ahahahahaha! Kwa ulichoandika unamaanisha wewe una akili nyingi sio? Ahahahahaha!!!
 
yahaya hakusema chadema watashika dola
alisema kuwa dola itaenda kwa upinzani
upinzani sio CDM tu, vipi UMOJA PARTY?
 
Kwa akili yako unategemea maneno ya mnajimu,,,unafikiria CCM itatoka madarakani kirahisi kama kumpeleka demu gheto?CCM inapokuja suala la uchaguzi hawataki huruma
 
Back
Top Bottom