Tetesi: Huenda chama kipya cha Lissu kikasheheni watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof. Safari, Mnyika, Heche, Wenje na wale wote waliotoka CHADEMA kwa figisu

Tunatofautiana ndugu.
Wewe unapambana na uchaguzi, mimi napambana na halisia.
Kimsingi hatuwezi kufanana.
 
Nimejuta kusoma huu upuuzi, anyway kosa ni langu
 
Mhe. Mbowe tunakuomba umpishe Lissu. Miaka 30 imekutosha vinginevyo utabaki mwenyewe na CHADEMA yako na Covid-19.
Propaganda za kijinga sana, ingekuwa huko Facebook kidogo watu wangeamini. Sasa jf wanaingia watu wanaojielewa so huwezi kufanikiwa kwa hili
 
Ningekuwa mwanachama wa CHADEMA, hapa mwenyekiti ningemtuhumu kufanya conspiracy ya kukisambaratisha chama ksirisiri
Mkuu utakuwa una tatizo la kiakili, so wewe akili yako imeamini kuwa mleta kaleta habari ya kweli wakati yeye mwenyewe anasema ni hisia! Kweli Tz bado sana kama raia wake ni kama wewe
 
Wapinzani wakuu wa CHADEMA wanapenda sana vyama vyenye viongozi maskini wa fedha na mawazo ili wapate mtelemko ndiyo maana ya kelele za kuhusu uwenyekiti wa Mbowe.
Ingetakiwa hizi propaganda wakafanyie Facebook, huku watu wanajitambua sidhani kama kuna kiumbe anaweza kuamini haya zaidi ya wao kwa wao hao Fisiemu
 
Mimi nilitoka chadema 2015 wakati chama kilipokodishwa kwa lowassa, ninaweza kutangaza nia ya kujiunga na chama kingine makini. Lakini kwa hiki, "chama cha lisu" itanizuia kabisa kujiunga nacho. Nyakati za kujiunga na chama cha mtu zimeshapita, hasa kama mtu mwenyewe ni lisu.
 
Mbona mnaoumia sana ni CCM kuliko wenyechama chao? Chama hakikuhusu lakini unapiga kelele badala ya kwenda kichapisha form moja huko kwenu
 
Kama wayajua hayo basi kaa kwa kutulia waachie wenye chama chao
 
Acha kujivua akili na kuamini huu ujinga, kuwa kama uko Jf na siyo Facebook
 
2020 kulikuwa hakuna uchaguzi wenye tija.
Wapiga kura wengi walliukubali utawala wa Magufuli.
Kosa ni kubwa ccm walitaka kufuta upinzani jumla.
Ila ulikuwa uchaguzi ambao hata wasingeiba kura wangeshinda tu.
Kuna mtu timamu kweli angeweza mchagua jiwe? Labda wale waliokuwa wanajiita wanyonge wakidhani unyonge wao umeletwa na watu wenye mafanikio
 
Hakun wa kuamini huu ujinga ila ni mafisiemu yanafarijiana
Walidanganywa kuwa CHADEMA imekufa, walifanya hujuma ife haikufa. Sasa wana weweseka kuchanganya watu, inavyoonekana Mbowe kawachanganya sana.
 
Ningekuwa mwanachama wa CHADEMA, hapa mwenyekiti ningemtuhumu kufanya conspiracy ya kukisambaratisha chama ksirisiri
Kama ungekuwa mwanachama wa CDM basi ingekuwa ni hasara sana kwa hicho chama, yaani unaamini huu ujinga wa mleta mada [emoji848]
 
Mbona mnaoumia sana ni CCM kuliko wenyechama chao? Chama hakikuhusu lakini unapiga kelele badala ya kwenda kichapisha form moja huko kwenu
Acha upuuzi
Kuipinga chadema haimaanishi unaikubali Ccm.
Chadema ya Mbowe sio chama cha upinzani kwa sasa ila ni Ccm iliyopoa kidogo. Wanapambana kuibakiza Ccm ya Samia madarakani.
Your browser is not able to display this video.

Tumechoka unafiki wa hao watu.
 
No comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…