Tetesi: Huenda chama kipya cha Lissu kikasheheni watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof. Safari, Mnyika, Heche, Wenje na wale wote waliotoka CHADEMA kwa figisu

Tetesi: Huenda chama kipya cha Lissu kikasheheni watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof. Safari, Mnyika, Heche, Wenje na wale wote waliotoka CHADEMA kwa figisu

Wasalaam, JF.

Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya siasa akianzia kukisimika chama hicho kipya mkoani kwake Singida kabla ya kuanza harakati Tanzania nzima.
Hii agenda ya cdm na Mbowe mmeishikia bango Sana na Nina uhakika dau limeongezeka kutoka buku 7 Hadi 30 kwa kila Uzi wa kuichapa cdm na Mbowe!

Watanzania ni watu werevu kwa sasa na siyo wajinga wasiojua mbinu za ccm zilizopitwa na wakati. Wanajua mnahamisha goli la bahari na madini kupewa mkorea. Wanajua jinsi dp world alivyosababisha gharama za makontena kuongezeka.

Wanajua jinsi mnavyogawana vibali vya kuagiza sukari na kuifanya iwe bei juu!
Na wewe mleta Uzi ni kijana Tena under 40 na unashabikia ujinga wa raslimali za taifa kugawiwa Kama njugu za kuonjesha. Be ashamed!
 
Wasalaam, JF.

Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya siasa akianzia kukisimika chama hicho kipya mkoani kwake Singida kabla ya kuanza harakati Tanzania nzima.

Tayari baadhi ya watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof Safari, Boniface Mwambukusi, John Heche, John Pambalu, Godbless Lema, wanatajwa kuwa Viongozi wa awali wa Chama hicho ambacho bado jina lake halijajulikana.

Mkakati huu unakuja baada ya Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika kukataa kuendelea kukaa ofisi kwa madai kwamba kazi zote za Katibu Mkuu anafanya Mpwa wa Mbowe ndugu John Mrema akisaidiwa na Bw Reginard Mtumishi ambae ni mjomba wa Freeman Mbowe.

Mkakati uliopo leo CHADEMA ni Freeman Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa chama kwa mara ya nne mfululizo ukiacha mara mbili alizokuwa mwenyekiti kupitia BAVICHA na kufanya jumla ya mihula yote hiyo inamfanya Freeman Mbowe kuwa na miaka 30 kwenye uongozi wa CHADEMA bila kupisha yoyote kwenye uongozi Chama hicho.

Tundu AM Lissu ndio nembo pekee iliyosalia ndani ya CHADEMA ambayo imekuwa ikiibeba CHADEMA kama chama tangu kabla wakati na baada ya kupigwa kwake risasi 16 akiwa katika shughuli za kibunge Jijini Dodoma.

Kama Tundu AM Lissu ataihama CHADEMA basi huenda CHADEMA ikasalia kuwa kama CUF, NCCR na hata TLP kwa tayari imeshapoteza agenda yake ya Msingi ambayo ni kupinga Uzembe, Wizi na Ufisadi.

Tetesi za Mbowe kulamba asali ili aendelee kuwako CHADEMA kama Mwenyekiti ili kumdhibiti Tundu AM Lissu zimemlemea Mbowe na kuamua kurejesha Majeshi yake matiifu kutoka katika orodha ya Wabunge 19 waliofukuzwa.

Mbunge mmoja toka miongoni mwao jina tunalihifadhi anasema namnukuu "Halima ametuambia tusiendee CCM ila tumpambanie Mbowe awe mwenyekiti na Heche makamu ili amtoe Mnyika na Lissu ili turudi CHADEMA" mwisho wa kunukuu.

Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zinaunga mkono Lissu kuanzisha chama chake hicho kipya kwani CHADEMA tayari imechafuka na imekuwa ngumu kuitofautisha na Chama tawala cha CCM kimaadili na kimwenendo na hivyo kupoteza tafsiri ya neno "Upinzani"

Tundu AM Lissu anasifika kwa kukemea rushwa na ufisadi ndani na nje ya CHADEMA waziwazi na ndio turufu pekee inayomfanya azidi kuaminika na kipendwa zaidi na Watanzania hasa wa tabaka la chini.

Kitendo hicho kinampa wakati mgumu zaidi Mwenyekiti wa Sasa Freeman Mbowe ambae Uadilifu wake na nyendo zake hasa awamu hii ya sita zinamashaka mengi kutokana na tuhuma nyingi za ulambaji wa asali kwa maeneo na nyakati tofauti tofauti.

Mbowe anaamini mfumo sasa uko tayari kupeleka dola CHADEMA wakati Lissu anaamini mfumo ndio CCM na CCM ndio mfumo wenyewe.

Lissu anaamini katika kutwaa dola kupitia Wananchi wakati Mbowe anaamini katika kutwaa dola kupitia mfumo au dola yenyewe.

Kitendo cha Lemma kujitoa katika kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Kanda ya Kask ni ishara inayoakisi ninachokiandika hapa kwani ni dhahiri ananga'tuka CHADEMA na kuelekea kwenye hicho chama jipya,

Tanzania inahitaji upinzani safi sio bora upinzani, ndio maana waliwakataa CUF, wakawakataa NCCR na hivyo hivyo wakafanya kwa TLP na leo hii ni zamu ya CHADEMA kukataliwa wazi wazi

CHADEMA ndio chama Cha upinzani kinachomiliki mwenyekiti mmoja kwa miaka 30 huku wakiranda randa kuomba katiba mpya kwa wananchi wakati katiba yao inamatundu kama chekecheo.
Hakika njuka umejipanga na hadithi zako!

Bado hatujasikia ongeza mapambio!
 
Vyama vya upinzani vipo kuungana na ccm kuwanyonya watanzania
 
Wasalaam, JF.

Wakati Tundu AM Lissu akiamua kuasisi chama kipya cha siasa na kuifanya Tanzania kuwa na jumla ya vyama 20 vya siasa akianzia kukisimika chama hicho kipya mkoani kwake Singida kabla ya kuanza harakati Tanzania nzima.

Tayari baadhi ya watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof Safari, Boniface Mwambukusi, John Heche, John Pambalu, Godbless Lema, wanatajwa kuwa Viongozi wa awali wa Chama hicho ambacho bado jina lake halijajulikana.

Mkakati huu unakuja baada ya Katibu Mkuu wa CHADEMA John John Mnyika kukataa kuendelea kukaa ofisi kwa madai kwamba kazi zote za Katibu Mkuu anafanya Mpwa wa Mbowe ndugu John Mrema akisaidiwa na Bw Reginard Mtumishi ambae ni mjomba wa Freeman Mbowe.

Mkakati uliopo leo CHADEMA ni Freeman Mbowe kugombea tena nafasi ya Uenyekiti wa chama kwa mara ya nne mfululizo ukiacha mara mbili alizokuwa mwenyekiti kupitia BAVICHA na kufanya jumla ya mihula yote hiyo inamfanya Freeman Mbowe kuwa na miaka 30 kwenye uongozi wa CHADEMA bila kupisha yoyote kwenye uongozi Chama hicho.

Tundu AM Lissu ndio nembo pekee iliyosalia ndani ya CHADEMA ambayo imekuwa ikiibeba CHADEMA kama chama tangu kabla wakati na baada ya kupigwa kwake risasi 16 akiwa katika shughuli za kibunge Jijini Dodoma.

Kama Tundu AM Lissu ataihama CHADEMA basi huenda CHADEMA ikasalia kuwa kama CUF, NCCR na hata TLP kwa tayari imeshapoteza agenda yake ya Msingi ambayo ni kupinga Uzembe, Wizi na Ufisadi.

Tetesi za Mbowe kulamba asali ili aendelee kuwako CHADEMA kama Mwenyekiti ili kumdhibiti Tundu AM Lissu zimemlemea Mbowe na kuamua kurejesha Majeshi yake matiifu kutoka katika orodha ya Wabunge 19 waliofukuzwa.

Mbunge mmoja toka miongoni mwao jina tunalihifadhi anasema namnukuu "Halima ametuambia tusiendee CCM ila tumpambanie Mbowe awe mwenyekiti na Heche makamu ili amtoe Mnyika na Lissu ili turudi CHADEMA" mwisho wa kunukuu.

Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zinaunga mkono Lissu kuanzisha chama chake hicho kipya kwani CHADEMA tayari imechafuka na imekuwa ngumu kuitofautisha na Chama tawala cha CCM kimaadili na kimwenendo na hivyo kupoteza tafsiri ya neno "Upinzani"

Tundu AM Lissu anasifika kwa kukemea rushwa na ufisadi ndani na nje ya CHADEMA waziwazi na ndio turufu pekee inayomfanya azidi kuaminika na kipendwa zaidi na Watanzania hasa wa tabaka la chini.

Kitendo hicho kinampa wakati mgumu zaidi Mwenyekiti wa Sasa Freeman Mbowe ambae Uadilifu wake na nyendo zake hasa awamu hii ya sita zinamashaka mengi kutokana na tuhuma nyingi za ulambaji wa asali kwa maeneo na nyakati tofauti tofauti.

Mbowe anaamini mfumo sasa uko tayari kupeleka dola CHADEMA wakati Lissu anaamini mfumo ndio CCM na CCM ndio mfumo wenyewe.

Lissu anaamini katika kutwaa dola kupitia Wananchi wakati Mbowe anaamini katika kutwaa dola kupitia mfumo au dola yenyewe.

Kitendo cha Lemma kujitoa katika kugombea nafasi ya Uenyekiti wa Kanda ya Kask ni ishara inayoakisi ninachokiandika hapa kwani ni dhahiri ananga'tuka CHADEMA na kuelekea kwenye hicho chama jipya,

Tanzania inahitaji upinzani safi sio bora upinzani, ndio maana waliwakataa CUF, wakawakataa NCCR na hivyo hivyo wakafanya kwa TLP na leo hii ni zamu ya CHADEMA kukataliwa wazi wazi

CHADEMA ndio chama Cha upinzani kinachomiliki mwenyekiti mmoja kwa miaka 30 huku wakiranda randa kuomba katiba mpya kwa wananchi wakati katiba yao inamatundu kama chekecheo.
Kama hao wote wamekuwepo Chadema,NCCR na CuF na Bado hakuna kitu wamefanya ,Sasa hao wanaharakati ndio watakuwa na jipya gani?
 
just like others,...at the end he will get diluted......
 
Kama kitaanzishwa chama kipya.
Dr slaa,
profesa Safari
Wakiwa ndani ya hicho chama basi CCM 2025 watakuwa na hali mbaya sana.
Tatizo la sasa CCM hatuwataki na CHADEMA hawaaminiki. Hapo ndipo ccm wanapookota point za bure.
Hakuna CCM nyepesi kuitoa madarakani kama huu ya Samia. Tena inatolewa kwa kutumia katiba hii hii.
Aulizwe mzee wa Msoga kilichomkuta 2010
Mkuu kumbukumbu ni muhimu sana, ccm kama kutoka madarakani, kwa sanduku la kura ingeshatoka zamani, ukisema katiba hii" umeshitua sana, kilichotokea? uchaguzi wa 2020. Sina hamu ya kuona uchaguzi kwa katiba hii?!!?
 
Kama kitaanzishwa chama kipya.
Dr slaa,
profesa Safari
Wakiwa ndani ya hicho chama basi CCM 2025 watakuwa na hali mbaya sana.
Tatizo la sasa CCM hatuwataki na CHADEMA hawaaminiki. Hapo ndipo ccm wanapookota point za bure.
Hakuna CCM nyepesi kuitoa madarakani kama huu ya Samia. Tena inatolewa kwa kutumia katiba hii hii.
Aulizwe mzee wa Msoga kilichomkuta 2010
Mkuu kumbukumbu ni muhimu sana, ccm kama kutoka madarakani, kwa sanduku la kura ingeshatoka zamani, ukisema katiba hii" umeshitua sana, kilichotokea? uchaguzi wa 2020. Sina hamu ya kuona uchaguzi kwa katiba hii?!!?
 
Hii mada haina maana yoyote; imejaa ujinga mwingi hata mingi ya michango yake inaakisi ujinga. Imejaa uongo na mikingamo kibao (paradoxes, contradictions). Wanaodai wananchi wameichoka CCM lakini hawaoni chama makini cha upinzani ni sehemu ya propaganda za CCM kujaribu kete ya mwisho ku-equalize CCM na CHADEMA ili wananchi wasione chaguo bora. Ndio msingi wa ujinga wa mada kama hii.

Ukweli na uhalisia ni kwamba hadi leo hii CHADEMA, kama kilivyo, ndicho chama kikuu, chama makini na chama tishio cha upinzani nchini. Kimekuwa hivyo tangu kabla ya 2010. CHADEMA sio chama cha siasa tu, bali ni jukwaa (platform) la sauti za upinzani wa kweli (voices of dissent) dhidi ya uovu na utendaji mbovu wa serikali. Watumiaji wa jukwaa hilo ni wananchi wa vyama vyote, watendaji wa serikali hata waliomo kwenye vyombo vya dola wanaoona mambo yakienda ndivyo-sivyo. Ndio sababu ya watawala kuiogopa sana CHADEMA kiasi cha kujiapiza mara kwa mara kuiua na baadhi ya viongozi wake virtually and literally.

Kipimo cha ubora wa CHADEMA dhidi ya CCM ni kimoja tu: ni tume huru ya uchaguzi inayolindwa na katiba makini ya kidemokrasia, period. Hadi hapo ndipo Watanzania watakaposema wenyewe kuhusu chama kipi ndio chaguo lao kwenye sanduku la kura. Nje ya hapo, kama ilivyo kwenye mada hii ni kupiga ramli chonganishi!
 
Mkuu kumbukumbu ni muhimu sana, ccm kama kutoka madarakani, kwa sanduku la kura ingeshatoka zamani, ukisema katiba hii" umeshitua sana, kilichotokea? uchaguzi wa 2020. Sina hamu ya kuona uchaguzi kwa katiba hii?!!?
2020 kulikuwa hakuna uchaguzi wenye tija.
Wapiga kura wengi walliukubali utawala wa Magufuli.
Kosa ni kubwa ccm walitaka kufuta upinzani jumla.
Ila ulikuwa uchaguzi ambao hata wasingeiba kura wangeshinda tu.
 
Hii mada haina maana yoyote; imejaa ujinga mwingi hata mingi ya michango yake inaakisi ujinga. Imejaa uongo na mikingamo kibao (paradoxes, contradictions). Wanaodai wananchi wameichoka CCM lakini hawaoni chama makini cha upinzani ni sehemu ya propaganda za CCM kujaribu kete ya mwisho ku-equalize CCM na CHADEMA ili wananchi wasione chaguo bora. Ndio msingi wa ujinga wa mada kama hii.

Ukweli na uhalisia ni kwamba hadi leo hii CHADEMA, kama kilivyo, ndicho chama kikuu, chama makini na chama tishio cha upinzani nchini. Kimekuwa hivyo tangu kabla ya 2010. CHADEMA sio chama cha siasa tu, bali ni jukwaa (platform) la sauti za upinzani wa kweli (voices of dissent) dhidi ya uovu na utendaji mbovu wa serikali. Watumiaji wa jukwaa hilo ni wananchi wa vyama vyote, watendaji wa serikali hata waliomo kwenye vyombo vya dola wanaoona mambo yakienda ndivyo-sivyo. Ndio sababu ya watawala kuiogopa sana CHADEMA kiasi cha kujiapiza mara kwa mara kuiua na baadhi ya viongozi wake virtually and literally.

Kipimo cha ubora wa CHADEMA dhidi ya CCM ni kimoja tu: ni tume huru ya uchaguzi inayolindwa na katiba makini ya kidemokrasia, period. Hadi hapo ndipo Watanzania watakaposema wenyewe kuhusu chama kipi ndio chaguo lao kwenye sanduku la kura. Nje ya hapo, kama ilivyo kwenye mada hii ni kupiga ramli chonganishi!
Sikio la kufa halisikii dawa.
Kweli tume ya uchaguzi inakasoro hiyo haipingwi.
Ila kumbuka tume hii hii ndio iliyoleta upinzani 2010 Kikwete chupu chupu na 2015 kujaza kwa wingi wapinzani bungeni.
Unategemea Ccm watakuletea katiba na tume bora ili watoke kirahisi madarakani?
Upinzani unatakiwa kuwa upande wa wananchi na sera za upinzani zieleweke kwa wananchi walio wengi.

Chadema ilikuwa chama kikuu cha upinzani ni kwa ajili ya juhudi za kina Dr Slaa, Mnyika, Zito n.k kupambana kupenyeza agenda zao kwa wananchi hadi vijijini huko. Leo imekuwa One man show.
Gia ya angani ndio anguko la chadema. Walionywa wakawa na matusi bila hoja.
Mbowe na Samia lao moja.
Tusidanganyane, ukweli usemwe chadema ya sasa haipo kwa wananchi, yaani haina tofauti na CCM.
 
Nawasikitikia wasiojua siasa ya hii nchi inapokaribia uchaguzi mkuu, wengi hapa ni wachanga
 
Back
Top Bottom