Tulia huko atanitaja mimi[emoji1787][emoji1787]Itakuwa hivyo basi ni jambo jema lakini litakuwa jambo jema zaidi akitoa credit kwa JF hasa akinitaja mimi [emoji119]
Usichanganikiwe buanaWewe tena.
Duh mbona unanichanganya
Natania mwayaYaani akili ipo oversi umesema ni wewe Harafu tena ukasema akutaje wewe.
Au ndio muongo hana kumbukumbu
Mimi kama wakili wake inapaswa nipewe robo tatu ya malipo ya rikiboy
Riky boy..alipwe haiwezekani aibiwe title kizembe hivi
Kweli ila hizi ID zinaficha sana aisee ukute wapo wengi humusio huyo tu, wapo wengi humu hata msiowatarajia, ni vile ku fake ID na kutochangia mada, kunawafanya wasjulkane, just imagine siku yule mama yao angejarbu kutoa thread humu ya kutetea jinsia, na wale wa upande ule, watakavyomreply na kujaza mabango humu ya free out chairperson[emoji23][emoji23],,constitution na mambo kibao yatajaa humu[emoji23][emoji23][emoji23], au fikilia mondi&kiba wakijitaja humu kwny nyuz za watu, kma jf haijageuka kijiwe cha insta&michambo[emoji23][emoji23]...inshort hum kuna kina aina ya watu,.