Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Kama ilivyo jieleza hapo mtangazaji wa Wasafi fm Divathebawse huenda ni mdau wa JF na kama yupo humu naomba areply hapa au akiona shida ani PM.
Sababu ya kusema hivyo mda huu yupo kwenye kipindi cha lovedavy na amechukua uzi wa rikiboy wa kula kimasihara na kuuweka kuwa mada.
Diva ameuliza je, ushawahi kula tunda kimasihara na ilikuwaje hivyo kacopy hadi nukta ya rikiboy na ndio maana nasema hivyo.
Kwahiyo diva fanya kuni PM
Sababu ya kusema hivyo mda huu yupo kwenye kipindi cha lovedavy na amechukua uzi wa rikiboy wa kula kimasihara na kuuweka kuwa mada.
Diva ameuliza je, ushawahi kula tunda kimasihara na ilikuwaje hivyo kacopy hadi nukta ya rikiboy na ndio maana nasema hivyo.
Kwahiyo diva fanya kuni PM