Huenda Divathebawse ni mdau wa JF

Siyo yeye tu hata baba yake yupo humu kipindi anagombea TFF jukwaa la michezo alikuwa mdau .
 
Kachukua nyingi sana hasa kutoka MMU
 
Yupo tangu zamani huyo Malaya kawaida yake kuchukua nyuzi ila hatoi credit.
rikiboy nenda mahakamani
 
Yupo tangu zamani huyo Malaya kawaida yake kuchukua nyuzi ila hatoi credit.
rikiboy nenda mahakamani
Hahahah akafanye nini? Isitoshe anatumia ID fake unataka wamudake? Harafu hayo ni maneno tu maana hata rikiboy huenda alitoa sehemu na vilevile hana hakimiliki ya hiyo kazi.

Hivyo ni kujivunia tu kama Kazi za humu zinatembea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…