Huenda Divathebawse ni mdau wa JF

Huenda Divathebawse ni mdau wa JF

Siyo yeye tu hata baba yake yupo humu kipindi anagombea TFF jukwaa la michezo alikuwa mdau .
 
Kama ilivyo jieleza hapo mtangazaji wa Wasafi fm Divathebawse huenda ni mdau wa JF na kama yupo humu naomba areply hapa au akiona shida ani PM.

Sababu ya kusema hivyo mda huu yupo kwenye kipindi cha lovedavy na amechukua uzi wa rikiboy wa kula kimasihara na kuuweka kuwa mada.

Diva ameuliza je, ushawahi kula tunda kimasihara na ilikuwaje hivyo kacopy hadi nukta ya rikiboy na ndio maana nasema hivyo.
Kwahiyo diva fanya kuni PM
Kachukua nyingi sana hasa kutoka MMU
 
Yupo tangu zamani huyo Malaya kawaida yake kuchukua nyuzi ila hatoi credit.
rikiboy nenda mahakamani
 
Yupo tangu zamani huyo Malaya kawaida yake kuchukua nyuzi ila hatoi credit.
rikiboy nenda mahakamani
Hahahah akafanye nini? Isitoshe anatumia ID fake unataka wamudake? Harafu hayo ni maneno tu maana hata rikiboy huenda alitoa sehemu na vilevile hana hakimiliki ya hiyo kazi.

Hivyo ni kujivunia tu kama Kazi za humu zinatembea
 
Back
Top Bottom