Special Seat
Senior Member
- Jul 21, 2024
- 169
- 301
Ila tukiacha ushabiki huyu Kafulila anajua anachokifanya😆😆😆😆
Mimi kwenye hii clip hizo sifa kede kede sijazisikia.Huenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030 baada ya Rais Samia.
Msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo huko mbeleni.
View attachment 3087912
View attachment 3087911
Kwani mwenye masikio ni wewe peke yako?Mimi kwenye hii clip hizo sifa kede kede sijazisikia.
Ni kweli anajitahidiIla tukiacha ushabiki huyu Kafulila anajua anachokifanya
😀😀Kwani mwenye masikio ni wewe peke yako?
Huyu sio raia wa TanzaniaHuenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030.
Hapa hebu msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo mbeleni.
Hii inamaana gani?
View attachment 3087912
View attachment 3087911
Ila sio raiaIla tukiacha ushabiki huyu Kafulila anajua anachokifanya
Kafulila ni raia halali kabisa kuwa na amaniIla sio raia
Rais wa mawe na miambaHuenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030.
Hapa hebu msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo mbeleni.
Hii inamaana gani?
View attachment 3087912
Rais wa mawe na miambaHuenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030.
Hapa hebu msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo mbeleni.
Hii inamaana gani?
View attachment 3087912
😀😀 jamaa anabidii sanaRais wa mawe na miamba
Haya ni mawazo yako na hayako CCMMbio za Urais ni 2025,
Wanaoongelea Urais wa 2030 ni hadaa tu Ili mtu Fulani asistuke😀!!
Kwani huyo akiamua kugombea CCM au upinzani utamkataza ww?Haya ni mawazo yako na hayako CCM
Kwa maana Tz hatuwezi kuwa na mtu kama huyu au?Huyu sio raia wa Tanzania
😀😀Nchi ya moto sana hiiChambilecho hayati JPM " mchana wako na mimi ,usiku kwa Lowassa"[emoji1787][emoji1787]
#Nchi Kwanza Siasa baadaye [emoji7][emoji7]