Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikiliza tenaMimi kwenye hii clip hizo sifa kede kede sijazisikia.
Tuna uchaguzi 2025 , huo wa 2030 ni wa kufikirika Kwa sasa .Huenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030.
Hapa hebu msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo mbeleni.
Hii inamaana gani?
View attachment 3087912
,😀😀😀Tumbili akimsifia rais wa Mawe.
Ngedere ni chawa pro max.
Atakuwa ameahidiwa Uwaziri Mkuu endapo ndoto ya Mwigulu Nchemba itatimia hiyo 2030 !Ila tukiacha ushabiki huyu Kafulila anajua anachokifanya
Mnooo [emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]Nchi ya moto sana hii
Hekima tupu...Atakuwa ameahidiwa Uwaziri Mkuu endapo ndoto ya Mwigulu Nchemba itatimia hiyo 2030 !
Sisi tunamuhutaji yeyote yule ambaye ana nia nzuri na Nchi yake na Wananchi wake na Rasilmali za Nchi yake !
Hatuwataki wenye nia ya kujilimbikizia mali tu !
Nchi ni lazima iwe na Kiongozi Mkuu wa Nchi !
Na huyo Kiongozi awe na dhamira ya dhati kabisa kutoka sakafu ya moyo wake ya kutaka kuiongoza Nchi na Watu wake kufikia Maendeleo yanayohitajika !!
Isiwe nia yake ni kuja kutumbua na kujilimbikizia mimali na jamaa na marafiki zake tu ! Kama nanihino!
Iko hivi mtu hata akijilimbikizia mali kiasi gani lakini bado shida na maradhi ya kila aina yatamzonga tu Tajiri huyo !
Kwahiyo mtu kujidanganya kwamba ukisha kuwa na mimali mingi utakuwa na raha sana Duniani ni kujidanganya tu !!
Matajiri wote wenye mali nyingi wanalijua hili [emoji15]
Au nasema uongo ndugu zanguni wenye mimali mingi sana ????!!! [emoji15][emoji849]
[emoji119][emoji106][emoji120][emoji120]
Iko vile bandugu [emoji28][emoji28][emoji28]
Ngoja tuoneAtakuwa ameahidiwa Uwaziri Mkuu endapo ndoto ya Mwigulu Nchemba itatimia hiyo 2030 !
Sisi tunamuhutaji yeyote yule ambaye ana nia nzuri na Nchi yake na Wananchi wake na Rasilmali za Nchi yake !
Hatuwataki wenye nia ya kujilimbikizia mali tu !
Nchi ni lazima iwe na Kiongozi Mkuu wa Nchi !
Na huyo Kiongozi awe na dhamira ya dhati kabisa kutoka sakafu ya moyo wake ya kutaka kuiongoza Nchi na Watu wake kufikia Maendeleo yanayohitajika !!
Isiwe nia yake ni kuja kutumbua na kujilimbikizia mimali na jamaa na marafiki zake tu ! Kama nanihino!
Iko hivi mtu hata akijilimbikizia mali kiasi gani lakini bado shida na maradhi ya kila aina yatamzonga tu Tajiri huyo !
Kwahiyo mtu kujidanganya kwamba ukisha kuwa na mimali mingi utakuwa na raha sana Duniani ni kujidanganya tu !!
Matajiri wote wenye mali nyingi wanalijua hili 😳
Au nasema uongo ndugu zanguni wenye mimali mingi sana ????!!! 😳🙄
🙌👍🙏🙏
Iko vile bandugu 😅😅😅
Yeah ni kuiachia Mambo yake tu
Yeye ndiye atampigia kura kwa niaba ya taifa zima?Huenda Dkt Mwigulu Nchemba ni unstoppable kwenye hii rarely ya Urais wa 2030.
Hapa hebu msikilize Bw David David Kafulila Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre anavyommwagia sifa kede kede na kumwombea makubwa hapo mbeleni.
Hii inamaana gani?
View attachment 3087912
SHIDA YA WATANZANIA NDIYO HII.MTU AKIWA MCHAPAKAZI ,MKWELI SIYO RAIA.LAKINI AKIWA MWIZI ,FISADI ,NK NDIYE RAIA.KWA HIYO SIJUI TANZANIA RAIA WAKE NI WA AINA GANIIla sio raia
SHIDA YA WATANZANIA NDIYO HII.MTU AKIWA MCHAPAKAZI ,MKWELI SIYO RAIA.LAKINI AKIWA MWIZI ,FISADI ,NK NDIYE RAIA.KWA HIYO SIJUI TANZANIA RAIA WAKE NI WA AINA GANI.KWAMBA TANZANIA NI NCHI YA VILAZA AU ?Huyu sio raia wa Tanzania
Mkuu salama?Rais wa mawe na miamba
Na mtu akiwa Waziri wa hela na hela ni lazima atakuwa nazo tele 😅🙌👍Mwigulu Nchemba Waziri wa hela
Rais wa mawe na miamba
Naona ni mahaba tu ila Kafulila anafanya kazi nzuri sanaMimi kwenye hii clip hizo sifa kede kede sijazisikia.