Pre GE2025 Huenda huu ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Siasa za Peter Msigwa

Pre GE2025 Huenda huu ukawa ndio mwanzo wa mwisho wa Siasa za Peter Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Synonyms MP

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2024
Posts
320
Reaction score
346
Pamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )

Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.

Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.

Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.

Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.

Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.

Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.

Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.

Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.

Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.

Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.

Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.

Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.​
 
CCM Tunamtaka Msigwa kwa gharama yoyote
Screenshot_2024-06-04-15-11-02-1.png
 
Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yakeI
Inawezekana kuwa ndio mwisho wa CHADEMA kama chama cha kwanza cha upinzani kama Msigwa atafukuzwa chama. Sidhani kama hili watalifanya, kwa vile CHADEMA inaelewa kuwa Msigwa ni JEMBE.
 
Pamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )

Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.

Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.

Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.

Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.

Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.

Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.

Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.

Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.

Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.

Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.

Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.

Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.​
Niwe mkweli tu,chadema haina kiongozi mwenye upeo wa Msigwa hata wale wenye elimu nzuri tu kama Tundu Lissu wanaelemewa na mihemeko
 
Back
Top Bottom