CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ndiyo nini hicho?Apia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nini hicho?Apia
CCM imuue Msigwa kawakosa nini?Tunajua CCM mna mpango wa kumuua Msigwa kisha muisingizie Chadema.
CHADEMA siku ikimuacha Mbowe ndio siku itafanikiwa kuanzia hapo
Huwezi kushindana na taasisi yoyote ukaishinda.Inawezekana kuwa ndio mwisho wa CHADEMA kama chama cha kwanza cha upinzani kama Msigwa atafukuzwa chama. Sidhani kama hili watalifanya, kwa vile CHADEMA inaelewa kuwa Msigwa ni JEMBE.
Mbowe miaka 30 why?Huwezi kushindana na taasisi yoyote ukaishinda.
Unachoweza ni kukubali kuiacha taasisi au ukubaliane nayo.
Hakuna mtu mkubwa kuliko taasisi.
Siongelei mtu,nami si mwanachama wa chama chochote.Mbowe miaka 30 why?
CHADEMA uhuni mwingi ata hivyo aiseeVyovyote iwavyo,hawa watu kama kuna kipindi wanapaswa kua wamoja ni sasa labda km kuna agenda ya siri nyuma ya pazia
Kuliko majangili ya mbogamboga 😂,kuna kipindi Bashe aliitwa msomali 😂CHADEMA uhuni mwingi ata hivyo aisee
Km kuna kanuni zilivunjwa uchaguzi ukirudiwa shida iko wpAheshimu maamzi ya wapiga kura
Kwanini anaitaka sn hiyo nafasiKm kuna kanuni zilivunjwa uchaguzi ukirudiwa shida iko wp
Thubutu!! Msigwa hawezi kujiunga na Batalion ya Wezi wa Mali za Umma.CCM Tunamtaka Msigwa kwa gharama yoyote
Aliyepokea pesa ya mama abdul ndiye anayeitumikia ccm.Msigwa ameanza kutumika na CCM
UWT kwanini mnaumia sn?Aliyepokea pesa ya mama abdul ndiye anayeitumikia ccm.
UWT kahongwa na mama abdul.UWT kwanini mnaumia sn?
Mchungaji kaza haiwezekani Mtu aongoze taasisi miaka 30Pamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )
Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.
Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.
Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.
Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.
Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.
Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.
Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.
Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.
Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.
Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.
Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.
Wapo hoiUWT kahongwa na mama abdul.
Huwezi kushindana na taasisi yoyote ukaishinda.
Unachoweza ni kuiacha taasisi au ukubaliane nayo.
Hakuna mtu mkubwa kuliko taasisi.
Mmmmmm! KANU kama taasisi ilipotea baada ya Majembe kujitoa. CUF vile vile, NCCR Mageuzi nayo ilipitia njia hiyo hiyo. The next ni ANC, Kuondoka kwa Zuma ni janga kwa ANC. The Zuma efect imeipunguzia ANC 15% ya kura.Siongelei mtu,nami si mwanachama wa chama chochote.
Lakini ni ngumu mtu kuishinda taasisi aliyomo.
Iwe Kanisa,Chama cha Siasa,Kampuni etc.
Anachoweza ni kukaa kando au kukubaliana nayo.