Halalamikii kushindwa, analalamikia rafu na rushwa kutembea.Wakuu Mfumo demokrasia ni nzuri kwa wanasiasa inapowapa nafasi lakini ikiwakataa wanaikana
Miaka kumi ya msigwa kanda ilitosha kwa msigwa kufanya mabadiliko ya muda wa madaraka ya chama
Sasa bahati mbaya mwenzake kamshinda na hajui lini ataaachia madaraka maana hakuna ukomo huko chadema
Wachagga mlioko cdm acheni kupndisha ,Msigwa analalamikia mchakato na si kushindwa.Wakuu Mfumo demokrasia ni nzuri kwa wanasiasa inapowapa nafasi lakini ikiwakataa wanaikana
Miaka kumi ya msigwa kanda ilitosha kwa msigwa kufanya mabadiliko ya muda wa madaraka ya chama
Sasa bahati mbaya mwenzake kamshinda na hajui lini ataaachia madaraka maana hakuna ukomo huko chadema
Na Mbowe alivomjanja anaweza kuruhusu marudio na ukashindwa pia
Msigwa hajalalamikia kushindwa, bali amelalamikia figisu zilizofanywa na Mbowe kupita agent wake John Mrema.Miaka kumi ya msigwa kanda ilitosha kwa msigwa kufanya mabadiliko ya muda wa madaraka ya chama
Dikteta uchwara anayenyofoa watu kwenye chama safari hii ananyofolewa yeye 😆😆Mchungaji kaza haiwezekani Mtu aongoze taasisi miaka 30
NilisemaVyovyote iwavyo,hawa watu kama kuna kipindi wanapaswa kua wamoja ni sasa labda km kuna agenda ya siri nyuma ya pazia
We jamaa wewe.....Tunajua CCM mna mpango wa kumuua Msigwa kisha muisingizie Chadema.
Nina mashaka kwamba wewe ni MsingwaPamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )
Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.
Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.
Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.
Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.
Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.
Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.
Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.
Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.
Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.
Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.
Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.
Uliona mbaliNilisema
Done dealCCM Tunamtaka Msigwa kwa gharama yoyote
🤐 sina la kusema.Thubutu!! Msigwa hawezi kujiunga na Batalion ya Wezi wa Mali za Umma.
Thubutu!! Msigwa hawezi kujiunga na Batalion ya Wezi wa Mali za Umma.
Msigwa ni mpuuzi sana.Pamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )
Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.
Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.
Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.
Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.
Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.
Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.
Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.
Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.
Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.
Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.
Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.
Msigwa ni mpuuzi sana.
Alipenda madaraka sana.
Sasa akapambane huko ccm tuone mwisho wake
Ngoja tuonePamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T )
Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema zaidi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Oct 2025.
Duru za siasa za Upinzani zinamtaja Peter Msigwa kuwa ndio mwanasiasa anayependwa zaidi Ukanda wa Nyanda za juu kusini.
Ni Msingwa pekee mwenye nafasi ya kushinda Ubunge kwa zaidi ya 77% tofauti na ilivyo kwa Mpinzani wake wa karibu Joseph Mbilinyi.
Ukweli mchungu ni kwamba huenda Dkt Tulia Ackson akatetea Jimbo lake la Mbeya Mjini kwani Joseph Mbilinyi Sugu anapewa uwezekano mdogo wa kuibuka mshindi.
Turufu pekee ya Joseph Mbilinyi ni Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kutokana na Ukubwa na wingi wa watu waliopo katika Jimbo hilo.
Si rahisi Mch Peter Msigwa kuwa Mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM kwani muda uliosalia ni mfupi na Iringa ni ya Upinzani.
Siasa za sasa za Chama Cha Mapinduzi CCM ya Mama Samia ni mwendo wa demokrasia tu.
Mwanachama wa CCM akishinda kura za maoni ameshinda and verse versa is also true ila tu kama ni u-DC huo ataupata tu.
Ifahamike kuwa Probability ya Mch Peter Msigwa kushindwa kurudi bunge akiwa CCM ni moja ( 1 ) yaani ni hakika hatorudi.
Pamoja na mambo mengi yanayoizonga CHADEMA bado ndio Chama sahihi kwa sasa kwa Msigwa kupambania future yake.
Hata hivyo wajumbe kadhaa wa Kamati kuu ya CHADEMA nilipojaribu kuteta nao kwa nyakati tofauti tofauti.
Wengi wao wameonesha wazi hawajaridhishwa na Uchaguzi wa Kanda ya. Nyasa na hivyo ni muhimu Ukarudiwa.
🙆Duuu😂Thubutu!! Msigwa hawezi kujiunga na Batalion ya Wezi wa Mali za Umma.