wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Leo katika kipindi chao cha tunanyambua na kunyumbulisha nimesikia watangazaji wenzake akina Gerald Hando na Musa Kipanya
Wakisema kuwa jana yake usiku walipewa taarifa kuwa katika kipindi cha asubuhi magazeti kinachotangazwa na huyu mtangazaji mashughuri mwenye shughuli yake kwa mbwembwe za kuvutiwa wasikilizaji bwana Maulid Kitenge kuwa hatokuwepo na mbadala wake atasoma magazeti mtangazaji mpya ambae ni Elizabeth Michael maarufu kwa jina la LULU kuwa yeye ndie amesoma siku ya leo.
Huenda huyu ndugu yetu bwana Kitenge kapata shavu sehemu au kahamishwa kitengo?
Mwenye kujua zaidi atuletee mrejesho.
Nimewasilisha.
Wakisema kuwa jana yake usiku walipewa taarifa kuwa katika kipindi cha asubuhi magazeti kinachotangazwa na huyu mtangazaji mashughuri mwenye shughuli yake kwa mbwembwe za kuvutiwa wasikilizaji bwana Maulid Kitenge kuwa hatokuwepo na mbadala wake atasoma magazeti mtangazaji mpya ambae ni Elizabeth Michael maarufu kwa jina la LULU kuwa yeye ndie amesoma siku ya leo.
Huenda huyu ndugu yetu bwana Kitenge kapata shavu sehemu au kahamishwa kitengo?
Mwenye kujua zaidi atuletee mrejesho.
Nimewasilisha.