Huenda huyu mtangazaji wa E. FM Maulid Kitenge kapata shavu sehemu nyingine

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Leo katika kipindi chao cha tunanyambua na kunyumbulisha nimesikia watangazaji wenzake akina Gerald Hando na Musa Kipanya

Wakisema kuwa jana yake usiku walipewa taarifa kuwa katika kipindi cha asubuhi magazeti kinachotangazwa na huyu mtangazaji mashughuri mwenye shughuli yake kwa mbwembwe za kuvutiwa wasikilizaji bwana Maulid Kitenge kuwa hatokuwepo na mbadala wake atasoma magazeti mtangazaji mpya ambae ni Elizabeth Michael maarufu kwa jina la LULU kuwa yeye ndie amesoma siku ya leo.

Huenda huyu ndugu yetu bwana Kitenge kapata shavu sehemu au kahamishwa kitengo?

Mwenye kujua zaidi atuletee mrejesho.

Nimewasilisha.
 
Muulize Bash boy ndo huenda anajua maana mara ya mwisho ndo alifanya naye kipindi.
 
Hope.mkeo ama.mumeo ajui I'd yakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…