Atakua alikua anamaanisha Mariam wa Migomba [emoji1787][emoji1787] [emoji1787]Kwani siku hizi Kipanya na Gerad Hando wapo E.FM? Walitoka lini Clouds?Siku nyingi sijasikiliza redio.
Kahamia RFAalaaaaaah
Si redio ya mumew sio mbaya. Ila sijui utangazaj na ethics zake kasomea wapi[emoji848]hahahah eti Lulu ndiyo anamcover Maulidi Kitenge.
Lulu ni HR sijui utangazaji kama atawezana naoSi redio ya mumew sio mbaya. Ila sijui utangazaj na ethics zake kasomea wapi[emoji848]
. Kumbe ana cheo kikubwa kabisaa. Bas yaweza kua saiz yakeLulu ni HR sijui utangazaji kama atawezana nao
aende wasafi media kwani ana kichaa??Maulid anaenda kati ya sehemu hizi mbili.
Wasafi Media.
Azam Media.
Ni suala la muda ila namuona zaidi Wasafi Media
Hope.mkeo ama.mumeo ajui I'd yakooLeo katika kipindi chao cha tunanyambuanakunyumbulisha nimesikia watangazaji wenzake akina Gerald handle na Musa Kipanya wakisema kuwa jana yake usiku walipewa taarifa kuwa katika kipindi cha asubuhi magazeti kinachotangazwa na huyu mtangazaji mashughuri mwenye shighili yake kwa mbwembwe za kuvutiwa wasikilizaji bwana Maulid Kitenge kuwa hatokuwepo na mbadala wake atasoma magazeti mtangazaji mpya ambae ni Elizabet Michael maarufu kwa jina la LULU kuwa yeye ndie amesoma siku ya leo.
Huenda huyu ndugu yetu bwana Kitenge kapata shavu sehemu au kahamishwa kitengo?
Mwenye kujua zaidi atuletee mrejesho.
Nimewasilisha.
Habari ni "Lulu"So hii nayo ni habari ya kuanzishia Uzi kabisa?