Akiwa hayupo wanamweka yule demu ila leo wamesema kabisa kuwa kuna mabadiliko na barua walitumiwa usiku na wamemuweka mtangazaji lulu na ndie alisoma magazeti leo ina maana kuanzia leo atakuwa hayupo tenaTuheshinu Jf,hizi habari zingine hata shigongo hawazi chapisha......mbona ni Mara nyingi tu huwa hayupo?
No ni hizo sehemu mbili anaenda sehemu mojawapo.Huenda au kumwembe kashamtafutia chansi huko majuu
Oooh hujui mambo yalivyo mkuu.aende wasafi media kwani ana kichaa??
Kitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.Oooh hujui mambo yalivyo mkuu.