Na kweli hajui mkuu! ni vyema kuwa na akiba ya maneno.Oooh hujui mambo yalivyo mkuu.
Burigi kule kwenye hifadhi ya taifa?Kitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.
N hatareeeChezea mama wa boss wao wewe
Akienda hiyo tiketi mpe Musiba.Kitenge akienda wasafi nakulipia ticket ya ndege kwenda Burigi na kurudi.
Labda katekwa huwezi jua huwa anatangaza kwa mbwembwe ishu za serikali na kama unavyojua serikali ya sasa hivi inaruhusu watu wanaosifia tu ila wa kupondea kukiona cha mtema kuni.
potelea mbali nitalipia hiyo ticket ya kwenda Burigi na kurudi, wacha roho iniume.Khaa.. angalia mkuu utakosa kwa kuficha sura yako usikariri huwezi jua
Labda katekwa huwezi jua huwa anatangaza kwa mbwembwe ishu za serikali na kama unavyojua serikali ya sasa hivi inaruhusu watu wanaosifia tu ila wa kupondea kukiona cha mtema kuni.