Huenda huyu mtangazaji wa E. FM Maulid Kitenge kapata shavu sehemu nyingine

Maulid Kitenge ameshasaini mkataba Wasafi fm na anaanza kutangaza kipindi cha michezo kuanzia J3. Edo Kumwembe pia soon atatambulishwa.
tayari nimeona na nimetimiza ahadi yangu ya kutoa ticket ya ndege ya kwenda Burigi na kurudi baada ya kudhibitika kuwa kaenda wasafi.
 
Mkuu uliwaza mbali sana. Iko confirmed now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…