Huenda huyu mtangazaji wa E. FM Maulid Kitenge kapata shavu sehemu nyingine

Biashara ya radio ngumu sana. Ndio maana Abdallah Majura kaamua kumuuzia Mwamposa. Yaani siku hizi wanafanya kusajili kwa mbwembwe na si kuajiri.
Kuna radio hapa hapa dar huwa nakaa miezi hadi mitatu sijasikiliza, na wanatumia gharama kuendesha ujue.
Radio gani hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…