Huenda huyu ndio DC anayependwa zaidi Kwa sasa Tanzania

Huenda huyu ndio DC anayependwa zaidi Kwa sasa Tanzania

Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.

Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.


===
View attachment 3253984
Mwanaume anazawadiwa nguo ya kike, ndio unasema anapendwa?
Mimi ukinifanyia hivyo nitafikiri unanifungamanisha na upinde wa mvua. Hakika nitakufanya kitu mbaya
 
Acha kuweweseka wewe.hakuna asiye fahamu uchapakazi, uadilifu na uzalendo wa Mheshimiwa Shaka .kila mahali alikofanya kazi ameacha alama chanya zinazoendelea kukumbukwa. Huyu ni kiongozi na Mtumishi wa watu ambaye anajua cheo ni Dhamana na ni utumishi kwa watu
Mideko sana huyo mtu unae msifia. Anaongea kama mtu aimbae taarabu. Alitolewa chamani ili aende huko kukua. Alibwabwaja kittuko kimoja ikabidi mfumo umtupe huko kwanza
 
Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.

Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.


===
View attachment 3253984
Hakuna nyakati ambazo wananchi wa Kilosa walifurahia km wakati wa utawala wa Magufuli.. Wafugaji walitii mashamba ya watu na hapakuwa na migogoro..Wananchi walitembea kifua mbele wakijua kuna Rais .. ukitaka kuamini waulize wakazi wa Dumila, walivyokuwa wananyanyashwa na wafugaji kule mashambani, Mabana, Garadasi,Mambegwa, Mbigili hadi Ludewa Baada ya Magu kuingia madarakani hali iliuuwa shwari..
 
Mideko sana huyo mtu unae msifia. Anaongea kama mtu aimbae taarabu. Alitolewa chamani ili aende huko kukua. Alibwabwaja kittuko kimoja ikabidi mfumo umtupe huko kwanza
Acha uongo na uzushi wako hapa wewe
 
Jamaa ana ID nyingi sana huyu .. na huyu Mwashambwa sio mtu wa Mbeya ni Mzanzibar anayetumia jina la Kinyiha kuonyesha Chura Kiziwi ana uungwaji mkubwa huru bara...
Kweli wewe ni Mgonjwa usiyejitambua kabisa. Kwanini unapenda ubaguzi kama mchawi? Kwani Mzanzibari siyo Mtanzania? Hivi kuna mtu anakubalika na kupendwa Nchi hii kumshinda Rais SAMIA?
 
Kweli wewe ni Mgonjwa usiyejitambua kabisa. Kwanini unapenda ubaguzi kama mchawi? Kwani Mzanzibari siyo Mtanzania? Hivi kuna mtu anakubalika na kupendwa Nchi hii kumshinda Rais SAMIA?
Ni kweli hakuna kiongozi anayeongoza kupendwa nchi hii na machawa na mabango ya barabarani..
 
Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.

Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.


===
View attachment 3253984
Huyu aliwahi kuolewa kabisa Mombasa na akafukuzwa uanachama enzi akiwa Uvccm.
 
Back
Top Bottom