Mwanaume anazawadiwa nguo ya kike, ndio unasema anapendwa?Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.
Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.
===
View attachment 3253984
Akawe RC huko kwao Zanzibar sio TanganyikaHuyu levels zake ni URC tu wanamwonea sana Shaka
Mideko sana huyo mtu unae msifia. Anaongea kama mtu aimbae taarabu. Alitolewa chamani ili aende huko kukua. Alibwabwaja kittuko kimoja ikabidi mfumo umtupe huko kwanzaAcha kuweweseka wewe.hakuna asiye fahamu uchapakazi, uadilifu na uzalendo wa Mheshimiwa Shaka .kila mahali alikofanya kazi ameacha alama chanya zinazoendelea kukumbukwa. Huyu ni kiongozi na Mtumishi wa watu ambaye anajua cheo ni Dhamana na ni utumishi kwa watu
Jamaa ana ID nyingi sana huyu .. na huyu Mwashambwa sio mtu wa Mbeya ni Mzanzibar anayetumia jina la Kinyiha kuonyesha Chura Kiziwi ana uungwaji mkubwa huru bara...Wewe ni Lucas Mwashambwa
Hakuna nyakati ambazo wananchi wa Kilosa walifurahia km wakati wa utawala wa Magufuli.. Wafugaji walitii mashamba ya watu na hapakuwa na migogoro..Wananchi walitembea kifua mbele wakijua kuna Rais .. ukitaka kuamini waulize wakazi wa Dumila, walivyokuwa wananyanyashwa na wafugaji kule mashambani, Mabana, Garadasi,Mambegwa, Mbigili hadi Ludewa Baada ya Magu kuingia madarakani hali iliuuwa shwari..Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.
Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.
===
View attachment 3253984
Acha uongo na uzushi wako hapa weweMideko sana huyo mtu unae msifia. Anaongea kama mtu aimbae taarabu. Alitolewa chamani ili aende huko kukua. Alibwabwaja kittuko kimoja ikabidi mfumo umtupe huko kwanza
Wewe elewa kuwa anapendwa sana, na nani au kivipi achana nayo π π π πIle kesi yake ya kuwa bwabwa iliishia wapi?
Kweli wewe ni Mgonjwa usiyejitambua kabisa. Kwanini unapenda ubaguzi kama mchawi? Kwani Mzanzibari siyo Mtanzania? Hivi kuna mtu anakubalika na kupendwa Nchi hii kumshinda Rais SAMIA?Jamaa ana ID nyingi sana huyu .. na huyu Mwashambwa sio mtu wa Mbeya ni Mzanzibar anayetumia jina la Kinyiha kuonyesha Chura Kiziwi ana uungwaji mkubwa huru bara...
Na wewe ile kesi yako ya utapeli wa mazao ya wakulima iliishia wapi?Hiyo kesi ulifungua wewe? Acha Uropokaji na kuwachafua watu hapa.
Ni kweli hakuna kiongozi anayeongoza kupendwa nchi hii na machawa na mabango ya barabarani..Kweli wewe ni Mgonjwa usiyejitambua kabisa. Kwanini unapenda ubaguzi kama mchawi? Kwani Mzanzibari siyo Mtanzania? Hivi kuna mtu anakubalika na kupendwa Nchi hii kumshinda Rais SAMIA?
Huyu aliwahi kuolewa kabisa Mombasa na akafukuzwa uanachama enzi akiwa Uvccm.Akiwa katika Kata ya Chanzulu Baada ya mkutano wa wananchi Mhe DC Shaka Hamdu Shaka apokea mahaba toka kwa Wananchi anaowaongoza.
Wananchi wa vijiji vya Chanzuru na Muungano wameshindwa kuzuia hisia na furaha zao, wakambidhi DC Shaka Zawadi na kumshukuru kwa namna anavyopambania kutatua changamoto zao.
===
View attachment 3253984