Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Atueleze Crane la tani 26 liko wapi ili tuache kumuona poyoyo mpigajiKwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Crane la tani 26Ana tuhuma zipi huyu kijana?
Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Tuanzie hapa.....Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Crane la tani 26 ,Huyu jamaa alipopewa tu hii wizara. Tukawa tumeshajua maumivu yatakayotukumba.mm sioni umuhimu wa kuwa na waziri kilaza kama huyu. Huyu sio mramba asali bali ni mchota asali, maana Amezaliwa na kulelewa ndani ya mzinga.Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Vingine wanatengeneza wenyewe waje waonekane wamesolve matatizo.awamu ya 5 waziri alikuwa poa bila fujo..huyu aishiwi vioja mara crane ,mara repair Tanesco ndo kisa cha kukatika umeme vitu visivyo na mantiki kabisaTuanzie hapa.....
UTAWALA wa awamu ya 5 haukubadili waziri wa nishati ?!!!
Ni utawala upi ambao waziri wake wa nishati hakukumbana na changamoto kubwa?!!!!!
Mh.January amepewa wizara yenye changamoto ambazo hata ungepewa wewe zisingekoma.....
#Siempre JMT🙏
DJ Bramo hii "CHORUS" imechuja....would you plz change it ?!!!January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM...www.jamiiforums.com
January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Ni Kihiyo huyu Jamaa na Elimu ya Kuunga unga
Ogopa sana ukiwa hapa duniani Kuchanganya Vitu hivi Vitatu vya Unafiki, Uchawi na Ukuwadi.Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.