Huenda January Makamba ana gundu

Huenda January Makamba ana gundu

Kwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!

Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!

Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.

Huenda analo gundu huyo kijana.
halafu huyu mwamba anataka kuwa namba moja siku za usoni daa sijui itakuaje
 

January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo

Ni Kihiyo huyu Jamaa na Elimu ya Kuunga unga
Kama aliiba mtihani akafutiwa matokeo. Basi tena.

Ila unaweza mpa mtu benefit of doubt maana watu hubadilika.

Lakini sasa kama tabia inajirudia kila mara hilo ni tatizo.
 
Makamba ni part ya wapigaji katika taifa hili kipindi ameingia tu umeme ulianza kusumbua akasema mitambo ilikuwa haifanyiwi marekebisho akatoa lawama kweli kwa uongozi uliopita.akaomba siku 10 za mgao kufanya marekebisho naona siku zimepita lakini Umeme unakatika katika sana tu yaani tumerudi kulekule asee
 
Back
Top Bottom