halafu huyu mwamba anataka kuwa namba moja siku za usoni daa sijui itakuajeKwa nini mambo yake mengi hayakubaliki na watu?!
Tuhuma za ujanja ujanja ili afanikiwe mambo yake zimetamalaki mno hali inayoelezwa huenda ni fisadi-pengine?!
Mbaya zaidi hakubaliki na kila analolifanya hali inayowapelekea watu kumuona ni mhuni wa kisasa ndani ya kazi ya siasa.
Huenda analo gundu huyo kijana.
Kama aliiba mtihani akafutiwa matokeo. Basi tena.January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Mimi nimesoma na JM pale Galanos sec Tanga mwanzoni wa miaka ya tisini. Huyu bwana matokeo yake ya form four yalifutwa baada ya kugundulika aliiba paper. Baada ya hapo baba yake akamfanyia mpango kwenye shule nyingine nadhani Forest. Wezi wa paper ndio leo wanashika nchi unategemea nini? Kama JM...www.jamiiforums.com
January Makamba alishiriki wizi wa Mitihani Galanos na kufutiwa matokeo
Ni Kihiyo huyu Jamaa na Elimu ya Kuunga unga
Crane la tani 26