Pre GE2025 Huenda Kamati kuu hii ya CHADEMA ikawa ndio mwanzo wa mwisho wa nguvu za Freeman Mbowe au Mwanzo wa Vita mpya ya wazi kati yake na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Majizi yapi!!?sisi ccm Kwa mujibu was ripoti ya CAG kaitaja chadema!!?

Cage report imemtaja nani!?kama sio office zetu za seriakali yetu!!?

Chadema Ina Dola!!?kati ya ccm na chadema nani anamiliki dola!!?
Sasa kama wanapokea hongo wakiwa nje ya Serikali vipi kama wakiwa na Serikali?
 
Ngoja tuone awamu hii
 

Usicheze na hela mgawanyiko ni mkubwa
 
Reactions: Tui
Ninachoweza kukujibu ni jibu la mama yenu STUPID
 
Boni tunasikia na wewe umevuta mzigo ukajenga hekalu halafu unatuambia ni "Kitu ya yai" 🀣🀣🀣🀣
haikusaidii lolote...mpuuzi mkubwa kutoka CCM
 
Ngoja tuone mwoshi mweupe
 
Haya ndio matamanio ya Kila mwanaccm dhidi ya Lisu v/s Mbowe.
 
Basi endeleeni k
 
Yeti macho,Japo tuliwambiaa nyinyi ni wababaishaji..
 
chadema ipo jana, leo na itakuwepo.
mbowe alikuwepo na yupo.

uchonganishi wako hauwezi kuzidi aloufanya mwendazake 2015-2021 na haukufua dafu sii kwa chadema wala lisu wala mbowe
wee endelea kudokoa macho na kuandika mitandaoni

chadema hakivurugwi na mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…