Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote.


Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Ukimya wa chairman Mbowe umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu kwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa na viashiria vya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Machawa na wachagga wale wajinga wanamsapoti Mzee Mbowe ,tulieni Lissu awashikishe adabu na hakuna namna
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wakivurugana ndiyo furaha yako. Nadhani hupaswi kufurahia kushindwa au kujitoa kwa Lissu Chadema na kushinda kwa Mbowe Chadema pia kama huna maslahi na upande mmojawapo au chuki na hofu kwa upande mwingine. Hao ungewaacha wenyewe tu.
 
Machawa na wachagga wale wajinga wanamsapoti Mzee Mbowe ,tulieni Lissu awashikishe adabu na hakuna namna
Gentleman,
mtaka yote kwa pupa......


usiache mbachao kwa msala upitao.


kukurupuka kinyumbu kwenye siasa bila tathmini ya kina ni kitu mbaya sana. Mungwana anakwenda kua mwanachama wa kawaida kabla ya kujiengua chadema kabla ya pasaka 2025, dah

kukurupuka ni kitu mbaya sana aise 🐒
 
Wakivurugana ndiyo furaha yako. Nadhani hupaswi kufurahia kushindwa au kujitoa kwa Lissu Chadema na kushinda kwa Mbowe Chadema pia kama huna maslahi na upande mmojawapo au chuki na hofu kwa upande mwingine. Hao ungewaacha wenyewe tu.
umeeleza vizur kinyama gentleman dah!

ni kweli kabisaa mimi binafsi sina maslahi yoyote na upande wowote katika uchaguzi huu wa Chadema.

ile jambo ya muhimu na ya maana sana, ni kutoa elimu na kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau dhidi ya kinachoendelea kuelekea uchaguzi wa ndani wa chadema mapema mwaka ujao 2025 na si vinginevyo.

Asanti kwa kutambua hilo 🐒
 
Kama mbowe, anauhakika wa kushinda why machawa wake wamechachamaa sana? Kwa nini wasisubiri kumsulubu ktk uchaguzi?
Mbowe ana utaratibu wake gentleman, hana papara wala mdomo, ni mtu wa mipango yule.


Ni mtu wa kuchukua fomu, kujaza na kuzirudisha siku hiyo hiyo. hana haja ya kubweka bweka kama wengine makelele na mdomo.

uchaguzi ni mchakato wa mipango na numbers, macho akili na mipango yake imeelekezwa huko gentleman 🐒
 
Mbowe ana utaratibu wake gentleman, hana papara wala mdomo, ni mtu wa mipango yule.


Ni mtu wa kuchukua fomu, kujaza na kuzirudisha siku hiyo hiyo. hana haja ya kubweka bweka kama wengine makelele na mdomo.

uchaguzi ni mchakato wa mipango na numbers, macho akili na mipango yake imeelekezwa huko gentleman
Makelele ya machawa wa mbowe, yanadhihirisha mambo si rahisi huko kwa ground.

Nimesikia, kuna mkakati wa kumkata lisu, kwa kisingizio cha utovu wa nidham, kulingana na kauli zake za hivi karibuni.

MUDA UTATUPA MAJIBU SAHIHI.
 
Gentleman,
mtaka yote kwa pupa......


usiache mbachao kwa msala upitao.


kukurupuka kinyumbu kwenye siasa bila tathmini ya kina ni kitu mbaya sana. Mungwana anakwenda kua mwanachama wa kawaida kabla ya kujiengua chadema kabla ya pasaka 2025, dah

kukurupuka ni kitu mbaya sana aise 🐒

Akiwa mwanachama wa kawaida ndio maisha yatakoma au? Kwani wengine wakishindwa uchaguzi including wa ccm huwa wanakuwa wanachama wa ajabu baada ya hapo? Si wa kawaida tu

Tusubiri chadema wapractice demokrasia kama wanavyojiita, simple tu waweke wagombea na kura zipigwe anayeshinda anachukua kiti maisha yanaendelea. Hizi kelele zimezidi sana sasa, Lissu hajasema anafanya mapinduzi kasema anagombea na kugombea kuna kushindwa na kushinda!
 
Akiwa mwanachama wa kawaida ndio maisha yatakoma au? Kwani wengine wakishindwa uchaguzi including wa ccm huwa wanakuwa wanachama wa ajabu baada ya hapo? Si wa kawaida tu

Tusubiri chadema wapractice demokrasia kama wanavyojiita, simple tu waweke wagombea na kura zipigwe anayeshinda anachukua kiti maisha yanaendelea. Hizi kelele zimezidi sana sasa, Lissu hajasema anafanya mapinduzi kasema anagombea na kugombea kuna kushindwa na kushinda!
suala la maisha si tutazungumzia wakati mwingine gentleman?


hapa ni muhimu tu kujifunza faida za kua mtulivu mwenye mipango mikakati imara ya kushinda uchaguzi na mahesabu katika kushinda uchaguzi,

Lakini pia kujifunza hasara na athari za kukurupuka kwa tamaa, makelele na mdomo katika mambo haya ya chaguzi za kisiasa.

halafu masharti ya nini kwamba eti akishindwa kwa haki atakubali vinginevyo atachukua hatua nyingine!🤣

si achukue hizo hatua mapema sasa ikiwa ni pamoja na kujiunga mapema? au anasubiri fedheha 🐒
 
Atakuwa anajuta uamuzi wake wa kukurupuka.
yaani atakua na fastrations za kiwango cha juu mno..

anakosa umakamu uenyekiti, uenyekiti kamili ndiyo kabisa haiwezekani.

pupa, tamaa na uchu wa maadaraka usio na mipango ni kitu mbaya sana katika demokrasia..
 
Akipata aibu we inakuhusu nini? We mkewe utashea naye internet warrior?
kama wadau na wanasia tunapata funzo kwamba kukurupuka kwa pupa, tamaa na uchu wa maadaraka za kisiasa bila mipango matokeo yake ni fedheha na kukosa vyote.

tuwe na shukrani, tuwe na kiasi, turidhike na kile kidogo cha uwezo wetu. Hayo mambo makubwa kubwa waachiwe wakubwa.

kwa hekima, busara na mipango unaweza kua mkubwa siku zingine, kua na subra!🐒
 
Makelele ya machawa wa mbowe, yanadhihirisha mambo si rahisi huko kwa ground.

Nimesikia, kuna mkakati wa kumkata lisu, kwa kisingizio cha utovu wa nidham, kulingana na kauli zake za hivi karibuni.

MUDA UTATUPA MAJIBU SAHIHI.
hakuna ground kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema gentleman.

ni wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema zaidi ya 1000, kutokana kanda 10 za kiutawala za kiutawala, ndiyo wana wajibika kwa niaba ya wanachadema wengine wote kumchagua mwenyekiti wa Chadema Taifa.

Mgombea atakae katwa na kamati na mabaraza maalumu ya uchaguzi, atakatwa kulingana na vigezo, masharti na sheria zilizoainishwa kwenye katiba ya Chadema.

So,
ni muhimu kila mgombea kujitathmini na kujipima ikiwa anafaa kua mgombea wa nafasi fulani ama laaa.

Hakuna haja ya mawenge wala mchecheto kwenye jambo hilo ambalo kinahitaji umakini na mipango mikakati ya maana sana 🐒
 
Back
Top Bottom