Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Huenda Lissu akajiengua mapema kabla ya uchaguzi wa CHADEMA kukwepa aibu na fedheha za kushindwa vibaya sana uchaguzi wa ndani wa chama

Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hii ni post Yako ya ngapi kumhusu Tundu Lissu?
 
Akipewa tiketi ya uraisi atashinda ila tu ataunda serikali ya mseto.
Serikali kivuli sio gentleman?🐒

na huko si kukiri kwamba the gentleman is not popular kisayansi gentleman?

kwanini atumie mseto? au kwasababu he is physically unfit?
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Tutaachia mengine ila sio uenyekiti
 
Tutaachia mengine ila sio uenyekiti
ila yeye kaachia bana umakamu uenyekiti kirahisi kabisaa dah..

sifahamu aliemshauri kama bado wako nae pamoja na sielewi walitumia mahesabu gani kuchukua uamuzi ambao unampa mawenge mno saivi dah!

dah,
gentleman,
mambo haya ni kujipanga kwa ustadi wa kiwango cha juu sana lakini pia kua na maono ya mbele zaidi kabla ya kuchukua uamuzi.

Ni muhimu zaidi kama wasomi,
kuasess kwa haraka sana merits na demerits ya maamuzi yetu na kuamua upande wenye faida zaidi 🐒
 
Hii ndio siasa ,
Uchaguzi CHADEMA , C.C.M wanapiga kampeni.
 
Lisu ni Jasiri hawezi kuogopa uchaguzi wa Chadema.
Ameshapitia Magumu ya kutosha katika Siasa za Tanzania.

Ata Lisu akijitoa /Fukuzwa hawezi kukosa Chama Cha kumpokea na kama ata amua kurudi Bungeni kuwa Mbunge kupitia Chama chochote atashinda na kupata nafasi iyo.

Tunajua Mbowe amekaa madarakani kwa muda mrefu na ametengeneza Machawa wengi Sana.

Ata kama Mbowe anaona ukweli kwamba ni muda wa yeye kupumzika unaweza kuta ma Chawa hawapo tayari na Wana mshinikiza.
Ila vyovyote itakavyo kua ipo siku Mbowe ataondoka inaweza kua Sasa au baadae kidogo maana Muda haupo upande wake.
Machawa wajiandae ki saikolojia.
 
Ajiengue au asijiengue, agombee au asigombee, ashinde au asishinde, ahame au asishinde tayari mpaka hapo ameshaibomoa na kuisambaratisha Chadema vibaya mno.
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote, na usiache mbachao kwa msala upitao.

Kwa mazingira yaliyopo mpaka sasa, na kwa namna ambavyo hana mpango mikakati wowote wa kushinda uchaguzi huo zaidi ya kupumbazwa na mitandao ya kijamii.

Na ukimya wa chairman Mbowe dhidi yake na uchaguzi kwa ujumla, umempa kiwewe na mawenge zaidi. Lakini zaidi sana, kauli za baadhi ya wenyeviti wa kanda za kiutawala zimemstua na kumpumbaza zaidi kiasi kwamba hana anachoweza kukifanya kwa sasa

Ni wazi,
Tundu Antipas Lisu, hata subiri fedheha na aibu ya kushindwa vibaya siku ya uchaguzi, badala yake atajiengua mapema kukwepa dhihaka na udhalilishaji atakaoupata kwenye sanduku la kura, utakaofanywa na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa Chadema waliojipanga na kupania kumchagua Freeman Aikaeli Mbowe.

Baadhi ya wajumbe wa kanda, mikoa na wilaya, wengi wao wameanza kumkwepa Lisu na kujitenga nae kabisa japo yeye analazimisha na kujisogeza kwao kinafiki.

Katika kujiengua kwake,
atasingizia rafu wanazofanyiwa wafuasi wake kabla ya kampeni, rushwa, ubaguzi na viashiria na mipango ya udanganyifu kwenye uchaguzi huo, vitu ambavyo sio vya kweli na hayupo wa kufanya hivyo ndani ya Chadema hii iliyogawanyika.

Tundu Lisu hatachaguliwa kwasababu ya mashaka ya nidhamu na uzalendo wake kwa wajumbe, hata chaguliwa kwasababu ya mashaka ya uraia wake kwa chama na taifa, maana inasemekana tayari ana uraia zaidi ya nchi moja, kitu ambacho ni kinyume chake sheria za nchi, hata chaguliwa kwasababu ya dhamira na nia yake inayotiliwa shaka, na kwamba yeye ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, ana nia ya kuleta ukoloni mambo leo Tanzania n.k.

So,
kabla ya uchaguzi muungwana ataachia ngazi kwasababu Chadema wamemshtukia mapema dhamira na nia zake ovu.

Ukilikoroga lazima uliywe.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe wasema!!
 
So,
ni muhimu kila mgombea kujitathmini na kujipima ikiwa anafaa kua mgombea wa nafasi fulani ama laaa.

Hakuna haja ya mawenge wala mchecheto kwenye jambo hilo ambalo kinahitaji umakini na mipango mikakati ya maana sana

Weweseko la vijana wa mbowe linafikirisha sana.

SAFARI HII KITAELEWEKA.
 
Weweseko la vijana wa mbowe linafikirisha sana.

SAFARI HII KITAELEWEKA.
mdomo, pupa na kukurupuka kwenye mambo ya siasa ni kitu mbaya sana,

unskosa yote na kubaki mikono mitupu hivi hivi tu kwasababu ya tamaa ya kutaka vyote 🐒
 
mdomo, pupa na kukurupuka kwenye mambo ya siasa ni kitu mbaya sana,

unskosa yote na kubaki mikono mitupu hivi hivi tu kwasababu ya tamaa ya kutaka vyote
Bora lisu anaeongea ukweli direct kuliko mwamba anaebwabwaja indirect kupitia machawa.
 
Hii ndio siasa ,
Uchaguzi CHADEMA , C.C.M wanapiga kampeni.
sidhani kama vyama vingine wanahusika ispokua chadema pekeyake.

hata hivyo,
ni fursa kwa wataalamu na wachambuzi wabobevu wa siasa za vyama kudigest, kudisect na kupredict matokeo ya uchaguzi huo kulingana na approaches za watia nia wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho, na nguvu ya influence walionayo miongoni mwa wajumbe zaidi ya 1000 wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa zaidi katika u haguzi utakafanyika kabla ya pasaka,2025🐒
 
Bora lisu anaeongea ukweli direct kuliko mwamba anaebwabwaja indirect kupitia machawa.
siasa ni mipango mikakati sio mdomo gentleman..

akisema amesema, sio kusema sema tu 🤣
 
Nyie CCM ni washirikina sn achaneni na mambo ya CHADEMA fanyeni uchaguzi wa Mwenyekiti taifa kwanza
Gentleman,
ninachokifanya mimi ni kudigest, kudisect na kupredict kitaalamu popularity votes na influencial votes watakazopata chairmanship candidates kulingana na approaches zao katika kumendea nafasi hiyo muhimu.

sina upendeleo wala chuki na mgombea yeyote kwasababu wote ni marafiki na ndugu zangu.

So,
ni vizuri kufuatilia maandiko yangu kwa umakini mkubwa na kwakweli utajua na kufahamu mengi zaid ambayo hukua unayajua 🐒
 
Gentleman,
ninachokifanya mimi ni kudigest, kudisect na kupredict kitaalamu popularity votes na influencial votes watakazopata chairmanship candidates kulingana na approaches zao katika kumendea nafasi hiyo muhimu.

sina upendeleo wala chuki na mgombea yeyote kwasababu wote ni marafiki na ndugu zangu.

So,
ni vizuri kufuatilia maandiko yangu kwa umakini mkubwa na kwakweli utajua na kufahamu mengi zaid ambayo hukua unayajua 🐒
Nashauri uachane na mambo ya CHADEMA, ni lini CCM ilitoa form za kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa CCM taifa?
 
Ajiengue au asijiengue, agombee au asigombee, ashinde au asishinde, ahame au asishinde tayari mpaka hapo ameshaibomoa na kuisambaratisha Chadema vibaya mno.
Gentleman,
kwa faida ya wadau,
hebu elezea kwa ufupi ni vipi kaibomoa chadema hali ya kua ni yeye binafsi kwa tamaa na mdomo wake kajibomoa wenyewe kisiasa?🐒
 
Back
Top Bottom