Huenda Manchester City wakashindwa kutwaa hata EPL kwa kuvunjika moyo na matokeo ya UCL

Kosa la Mancity kuruhusu Madrid kupata goli nyingi ugenini. Ilikuwa wazi kwamba lazima pale Santiago Bernabeu , Mancity atoke.Mancity bado sana.

Kombe atachukua Liverpool hata km hupendi, Ila ndiyo ukweli wenyewe.Madrid atapigwa.
 
Sema Nini mkuu wewe ni shabiki wa man city ni vile ty hujajitambua vzuri ,njoo kwenye Uzi wetu kule Kuna mbwa nyingi za liverpool zinanizidia kabisa ,

Man city tunaendelea kukiwasha epl ,na jumapili tunaenda kumchalanga Newcastle
hao sawa, lkn UCL waachieni wanaume YNWA, huku bado sana.

YNWA 💪 YNWA 🔥
 
YNWA 💪 YNWA 🔥
 
Liverpool Hana uwezo hata WA Kuchukua hayo makombe 4 ,ataambulia mawili tu ..!
wale watoto wa Manchester City mlioanza kushabikia hii timu juzi baada ya mwarabu kuweka hela pale, hamjui mpira, hamjui Ni nn kinazungumzwa.

Chelsea atapigwa, Madrid atapigwa,
 
Liverpool Hana uwezo hata WA Kuchukua hayo makombe 4 ,ataambulia mawili tu ..!
wale watoto wa Manchester City mlioanza kushabikia hii timu juzi baada ya mwarabu kuweka hela pale, hamjui mpira, hamjui Ni nn kinazungumzwa.

Chelsea atapigwa, Madrid atapigwa,

Sasa km Liverpool hana uwezo,basi mwenye uwezo ni Manchester United.

Unawaza kitoto sana.
 
Huna uwezo wa kuchukua makombe manne mzee.
 
Kuna dalili za utabiri kutimia..

Hii Mechi ya Man C vs Ast.Vila inaweza isha kwa sare kama ile ya Westham..

Liver anaelekea atashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…