Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
 
Ukimfuatilia mlolongo wa natukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Hawa vijana wanachotaka ni hela tu
 
This is africa [emoji288]... I think tutatawaliwa mpaka kiama tuna macho ila atuoni na Ata ukiona utalazimishwa kuona kile walicho ona wao........?????
20230520_202324.jpg
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Umesahau kuwa kitenge ndio alimdhibiti yule jamaa aliyemtolea Nape bastola!? Huyo atakuwa afisa kipenyo wa ngazi za juu
 
kuna Maandamano ya Walalahoi kuunga mkono utekaji wa Bandari zetu
 
Jamani kila mtu aangalie tumbo lake, usijifanye unaipenda sana nchi. Ukipata upenyo piga.
Mi mtu yeyote anayejipenyeza kwenye fursa namuelewa, hata kwa kuuza nchi ni sawa tu maana mwisho wa siku chakula kiende chooni
 
Jamani kila mtu aangalie tumbo lake, usijifanye unaipenda sana nchi. Ukipata upenyo piga.
Mi mtu yeyote anayejipenyeza kwenye fursa namuelewa, hata kwa kuuza nchi ni sawa tu maana mwisho wa siku chakula kiende chooni
Huna akili!
 
Hata sakata la ngorongoro lilipoanza alikuwa mtu wa kwanza kupost video akiwa ngorongoro na hili sakata bandari naona karekodi video kabisa akiwa bandarini. watu kama hawa walishanunuliwa toka zamani ndio maana wanasafari nyingi Sana za anasa etc. Hizo pesa wanazopata ni laana kwako na vizazi vyao na zitawatoka puani siku za usoni maana Kuna watanzania wamekufa na maisha Yao kuharibiwa huko ngorongoro na Bado waendelea kutetea uuzwaji wa usalama na rasilimali za watanzania.
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Yule ni Malamba wakubwa Miguu, hakuna mtu limbukeni kama Kitenge, Full limbukeni,kutwa nzima unakuta ni kuwasifia Wafanya biashara
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Ndio wake za mafisadi hao ni wachumia matumbo hawana chembe ya uzalendo na usishangae akaja akapewa hata wilaya ili alambe asali Sasa Kiukweli Tunakoelekea sio kama watu Fulani wataendelea kuwa hai
 
Kumbuka watu wasio kuwa na nania ya nchi yao wanakuwa tayari washapata muelekeo wapi pa kwenda kujiweka kwenye ardhi nyingine.

watu wa aina hii mojawapo huyu mwandishi wa habari wa michezo anayetumia nguvu kubwa kama marehemu kagashoki yasiyo muhusu. Tulimuona ngorongoro leo tena kwenye Dp world.

Huyu jamaa kiufupi utumbo mpana unampeleka puta. Kuna siku mtaniambia maana watanzania tunawai kusahau.
 
Shida ya kitenge ni km hili swala la kupush agenda za DP WORLD kapewa yeye peke yake yaan anavyolishupalia,leo redioni kaamua kuitangaza page ya kiswahili ya dp world Twitter Ina followes mia tatu,yan hata dp world kwny kurasa yao official hawajaizungumzia hiyo account ya dp world swahili ila yeye TZ nzima ndo kapewa kaz ya kuipush iyo account
 
Back
Top Bottom