Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

Huenda Maulid Kitenge ni wakala wa Mafisadi?

Kwanza sio mtu wa kumjadili hapa!
Ni mtu wa kumdharau kana wanavyodharauliwa wapuuzi wengine!
Ukimsikiliza hata ongea yake ndani ya vipindi na nje ya vipindi unagundua ni mtu cheap sana na asie creative ndio maana ununuzi kwake ukawa sawa na kununua parachichi ghengeni!
 
Umesahau kuwa kitenge ndio alimdhibiti yule jamaa aliyemtolea Nape bastola!? Huyo atakuwa afisa kipenyo wa ngazi za juu
Kama usalama wamefikia hatua kuchua watu wa namna hii ndio maana nchi ipo ktk hali ya mgonjwa wa malaria!
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
... Sio HUENDA ! NI....!
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
mi mwenyewe nikipata deal kama hiyo hata ya kumuuza mtu, achilia mbali bandari ,nafanya vizuri tu
maisha yenyewe mafupi
 
Amechanganyikiwa, atalaaniwa yeye na kizazi chake chote.
 
Chadema kupitia Tundu Lissu ndio walianza kuwadhalilisha hadharani kwa kuwataja Kitenge na Hando

mjifunze Siasa na uvumilivu …iweje iwe ruhusa kwenu kushambulia na haramu kwao kujibu mapigo
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Ni lindaless
 
Ukimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.

Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.

Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.

Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Hilo liko wazi. Kawaingiza mkenge na akina zembwela
 
Back
Top Bottom