Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Hawa vijana wanachotaka ni hela tuUkimfuatilia mlolongo wa natukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia
Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi
Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend
Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Mjinga na Mwezi weweTigo Postpaid Bando za bei nafuu sana kwa Tsh 15 unapata Gb 15 mwezi mzima , karibu pm kwa maelezo zaidi. Na kujiunga
Umesahau kuwa kitenge ndio alimdhibiti yule jamaa aliyemtolea Nape bastola!? Huyo atakuwa afisa kipenyo wa ngazi za juuUkimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.
Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.
Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.
Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Huna akili!Jamani kila mtu aangalie tumbo lake, usijifanye unaipenda sana nchi. Ukipata upenyo piga.
Mi mtu yeyote anayejipenyeza kwenye fursa namuelewa, hata kwa kuuza nchi ni sawa tu maana mwisho wa siku chakula kiende chooni
Yule ni Malamba wakubwa Miguu, hakuna mtu limbukeni kama Kitenge, Full limbukeni,kutwa nzima unakuta ni kuwasifia Wafanya biasharaUkimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.
Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.
Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.
Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!
Nashangaa sana mkuu..hahaaHivi kitenge akushawishi jambo na wee ukubali...hivi Ana nini cha ziada
Au ndiyo followers
Ova
Ndio wake za mafisadi hao ni wachumia matumbo hawana chembe ya uzalendo na usishangae akaja akapewa hata wilaya ili alambe asali Sasa Kiukweli Tunakoelekea sio kama watu Fulani wataendelea kuwa haiUkimfuatilia mlolongo wa matukio kadha wa kadha ya hivi karibuni lazima mwanzoni mwa picha utamushuhudia Kitenge akiwaandaa watu kisaikolojia.
Mfano la Waarabu wa Loliondo na lile na Wamasai kule Ngorongoro Kitenge alitangulia kufanya kipindi cha kizushi.
Hili la Bandari tena Kitenge huyohuyo juzi kati inasemekana waarabu walimlipia kila kitu ili aende Asia huko kutuandaa na hili linalo trend.
Je, Maulid Kitenge ni Wakala wa waarabu?!