GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo asubuhi akihojiwa na Wasafi FM kupitia Mtangazaji Yussuf Mkule Msemaji wa Yanga ya Mshindo Msolla aitwae Hassan Bumbuli kwa ' Majigambo ' kabisa alisema kuwa Yanga imepanga Kufanya ' Mauwaji ya Shalubela ' kuliko yale yaliyofanywa na Simba SC na Azam FC ya Kuifunga Singida United Goli 8 alizoshinda Simba na Goli 7 alizoshinda Azam. Cha Kushangaza baada ya Mechi leo Yanga Kamfunga Singida United Goli 3 tu kwa 1.
Leo asubuhi akihojiwa na Efm kupitia Mtangazaji Mwanadada Tunu Hassan Shemkome Msemaji wa Yanga ya GSM aitwae Antonio Nugaz kwa ' Majigambo ' kabisa alisema kuwa Yanga imepanga Kufanya ' Mauwaji ya Halaiki ' kuliko yale yaliyofanywa na Simba SC na Azam FC ya Kuifunga Singida United Goli 8 alizoshinda Simba na Goli 7 alizoshinda Azam. Cha Kushangaza baada ya Mechi leo Yanga Kamfunga Singida United Goli 3 tu kwa 1
Hivi kama Klabu tu inakuwa na Wasemaji ' Wapuuzi ' kama hawa Wawili unategemea akina Molinga Watafunga na akina Morisson Kutowasusia?
Leo asubuhi akihojiwa na Efm kupitia Mtangazaji Mwanadada Tunu Hassan Shemkome Msemaji wa Yanga ya GSM aitwae Antonio Nugaz kwa ' Majigambo ' kabisa alisema kuwa Yanga imepanga Kufanya ' Mauwaji ya Halaiki ' kuliko yale yaliyofanywa na Simba SC na Azam FC ya Kuifunga Singida United Goli 8 alizoshinda Simba na Goli 7 alizoshinda Azam. Cha Kushangaza baada ya Mechi leo Yanga Kamfunga Singida United Goli 3 tu kwa 1
Hivi kama Klabu tu inakuwa na Wasemaji ' Wapuuzi ' kama hawa Wawili unategemea akina Molinga Watafunga na akina Morisson Kutowasusia?