Huenda mimi nikawa Mtanzania pekee kuzishabikia Simba na Yanga zote kwa Pamoja

Huenda mimi nikawa Mtanzania pekee kuzishabikia Simba na Yanga zote kwa Pamoja

Habari wana JF,

Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.

Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.

Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..

Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..

Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
Sema huzishabikii timu hizo kwani huwezi kushabikia pande zote, kwa lugha fupi ni hufungamani na timu zote, ukishashbaikia unakuwa umefungamana nayom na siku timu hizo zikipambana utakuwa upande waa mshabaiki wa timu yako na kushangilia nao. Iwapo unadai unashabikia zote, weka hapa picha kuonyesha ukiwa unashangilia siku ya 5-G
 
Sema huzishabikii timu hizo kwani huwezi kushabikia pande zote, kwa lugha fupi ni hufungamani na timu zote, ukishashbaikia unakuwa umefungamana nayom na siku timu hizo zikipambana utakuwa upande waa mshabaiki wa timu yako na kushangilia nao. Iwapo unadai unashabikia zote, weka hapa picha kuonyesha ukiwa unashangilia siku ya 5-G
Pale znapokutana ndo nakua neutral mzee sina upande ila zikicheza tofauti huwa nazikubali zote na niziombae zote ushindi kwa pamoja,, sjui kama umenipata hapo mkuu..
 
Pale znapokutana ndo nakua neutral mzee sina upande ila zikicheza tofauti huwa nazikubali zote na niziombae zote ushindi kwa pamoja,, sjui kama umenipata hapo mkuu..
Basi siyo shabiki bali hufungamani na timu yoyote, na hivyo unazikubali zote, lakini siyo shabiki.
 
Habari wana JF,

Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.

Binafsi nilianza kuishabikia Yanga kindakindaki tokea 2008 enzi za kina Kigi Makasi, Jerry Tegete, Abdi Kassim Babi etc ila kwenye miaka ya hivi karibuni nmekuwa mfuatiliaji mkubwa na shabiki pia wa Simba lakini pia bado naifatilia na kuishabikia Yanga.

Kikubwa kilichonfanya nianze kuishabikia Simba ni kufanya kwake vizuri Kimataifa, kuondoka kwa Haji Manara na uwepo wa huyu mwamba KIBU DENIS namuelewa sana huyu mpambanaji siyo kdogo..

Kiufupi nnamiliki Jezi za timu zote mbili na zote zikicheza lazma niende kuangalia watu wananishangaaga sana kitaa ila sina namna..

Sasa sijui Level ya ushabiki niliyopo ni ya aina gani maana nashndwa hata kuelewa aisee?
Yanga na Kiggi Makassy?
 
Siyo ndani ya ligi moja. Ukipenda timu mbili ndani ya ligi ,oja basi wewe ni mpenzi wa mpira lakini siyo shabiki wa timu yoyote.
Sawaa mkuu nmekupata ila me npo kwny level ya ushabiki bdo
 
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, We kama siyo kolo utakuwa mwananchi.
 
Hayo ni yaliyomo ndani ya ubongo wako, lakini katika moyo ipo timu moja tu. Either simba au Yanga, na kwa maelezo yako am sure ni Yanga
 
Hivi karibuni nimejikuta nazishabikia timu za Simba na Yanga ambao ni mahasimu wakubwa zote kwa pamoja ambacho si kitu cha kawaida hasa kutokana na ushindani mkubwa wa hizi timu.

Tupo wengi tu si wewe pekee...
 
Back
Top Bottom