Huenda msimuone tena Okra uwanjani kwa miezi kadhaa au msimu mzima

Huenda msimuone tena Okra uwanjani kwa miezi kadhaa au msimu mzima

wanasema jamaa alirudisha chenji uwanjani ati 😛 😛
 
Taarifa iliyotolewa na daktari wa Yanga Augustine Okra alipata Maumivu baada ya kugongana na mchezaji wa KVZ Hali iliyo sababisha mishipa laini ya puani kuchanika.
Baada ya kukimbizwa Hospitali na kufanyiwa uchunguzi wa kina imeonekana hakuna shida nyingine kubwa zaidi ya iyo mishipa laini ya puani na anategemewa baadae kuruhusiwa kutoka Hospitali.
 
Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
Mashabiki wa hii timu nilidhani mnasingiziwa ukosefu wa akili.
 
Taarifa iliyotolewa na daktari wa Yanga Augustine Okra alipata Maumivu baada ya kugongana na mchezaji wa KVZ Hali iliyo sababisha mishipa laini ya puani kuchanika.
Baada ya kukimbizwa Hospitali na kufanyiwa uchunguzi wa kina imeonekana hakuna shida nyingine kubwa zaidi ya iyo mishipa laini ya puani na anategemewa baadae kuruhusiwa kutoka Hospitali.
kama hii taarifa ni ya kweli, nashauri daktari wa yanga afukuzwe kazi upesi tena haraka sana, nmeona picha mtandaoni okra akiwa amebebwa kwenye mechera kwa staili ya kulala chali (yaani kichwa kinaangalia mawingu kikawaida mtu anayetokwa damu puani huwezi kumuweka katika hiyo position, kingine kama alianza kutokwa damu akiwa hospitali huenda alipata intracranial pressure hivyo basi kama watajifanya wajuaji tegemeeni kumuona akianguka gafla tena uwanjani kama kuku wa ndondo
 
Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
wewe hebu acha uongo,okra alitoka damu na aliumia mfupa wa pua
 
kama hii taarifa ni ya kweli, nashauri daktari wa yanga afukuzwe kazi upesi tena haraka sana, nmeona picha mtandaoni okra akiwa amebebwa kwenye mechera kwa staili ya kulala chali (yaani kichwa kinaangalia mawingu kikawaida mtu anayetokwa damu puani huwezi kumuweka katika hiyo position, kingine kama alianza kutokwa damu akiwa hospitali huenda alipata intracranial pressure hivyo basi kama watajifanya wajuaji tegemeeni kumuona akianguka gafla tena uwanjani kama kuku wa ndondo
Punguza ujuaji fala wewe
 
Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
'alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia?" Unajaribu kututhibitishia kuwa unayo shahada japo haukusema ni ya nini, huu ni ushabiki usio na tija kwani ingetosha kusema aliumia.
 
Lile gari la mkaa sheikh Dutumi - Mzenga.
 
Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
TUTAMWONA
 
Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"

Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.

Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
Mkuu haya mambo umesomea au ni utundu tu mbona kama ulitupanga?
 
Back
Top Bottom