Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Laana ya kula rambirambi za Mafisango ndio inawatesa.Mungu anajua zaidi, nasubiri taarifa rasmi ya Klabu juu ya hili kama ni serious kweli.
Anakaa nje kwa wiki sita hadi 7 , uko sahihimimi ni mwana yanga mkuu ila nawastua tu kama huamini subiri kesho kutwa uone kama utamuona hata jukwaani achilia mbali kwenye benchi la sub.
Mashabiki wa hii timu nilidhani mnasingiziwa ukosefu wa akili.Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"
Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.
Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
kama hii taarifa ni ya kweli, nashauri daktari wa yanga afukuzwe kazi upesi tena haraka sana, nmeona picha mtandaoni okra akiwa amebebwa kwenye mechera kwa staili ya kulala chali (yaani kichwa kinaangalia mawingu kikawaida mtu anayetokwa damu puani huwezi kumuweka katika hiyo position, kingine kama alianza kutokwa damu akiwa hospitali huenda alipata intracranial pressure hivyo basi kama watajifanya wajuaji tegemeeni kumuona akianguka gafla tena uwanjani kama kuku wa ndondoTaarifa iliyotolewa na daktari wa Yanga Augustine Okra alipata Maumivu baada ya kugongana na mchezaji wa KVZ Hali iliyo sababisha mishipa laini ya puani kuchanika.
Baada ya kukimbizwa Hospitali na kufanyiwa uchunguzi wa kina imeonekana hakuna shida nyingine kubwa zaidi ya iyo mishipa laini ya puani na anategemewa baadae kuruhusiwa kutoka Hospitali.
Tindwa alikufa kwa matatizo ya moyo.Simba tangu wamuuwe Hussein Tindwa pale Uhuru sina hamu nao kwa Uchawi [emoji209]
Alibeba jiniTindwa alikufa kwa matatizo ya moyo.
AD HOMINEMMods mzuieni huyu mtu ni gentamycine kaja na id nyingine
wewe hebu acha uongo,okra alitoka damu na aliumia mfupa wa puaOkra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"
Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.
Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
Punguza ujuaji fala wewekama hii taarifa ni ya kweli, nashauri daktari wa yanga afukuzwe kazi upesi tena haraka sana, nmeona picha mtandaoni okra akiwa amebebwa kwenye mechera kwa staili ya kulala chali (yaani kichwa kinaangalia mawingu kikawaida mtu anayetokwa damu puani huwezi kumuweka katika hiyo position, kingine kama alianza kutokwa damu akiwa hospitali huenda alipata intracranial pressure hivyo basi kama watajifanya wajuaji tegemeeni kumuona akianguka gafla tena uwanjani kama kuku wa ndondo
'alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia?" Unajaribu kututhibitishia kuwa unayo shahada japo haukusema ni ya nini, huu ni ushabiki usio na tija kwani ingetosha kusema aliumia.Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"
Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.
Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
Mental case weweAD HOMINEM
TUTAMWONAOkra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"
Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.
Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.
Tena hovyo kabisa amekaa mkao wa kupata taarifa mbaya!! Full of negativity, eti daktari afukuzwe kaziPunguza ujuaji fala wewe
Mkuu haya mambo umesomea au ni utundu tu mbona kama ulitupanga?Okra magic jana "KAPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI" kifuti, ni baada ya kutaka kujaribu kugombania mpira wa juu, aliye mpiga ni mchezaji wa "KIKOSI MAALUMU CHA VALANTA ZANZIBAR"
Alipoteza fahamu baada ya tukio lile nadhani sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, alibebwa kwenye machela, hakurudi uwanjani, alifanyiwa sub ikumbukwe aliingia kwa sub, sub juu ya sub.
Hapa unapata picha aliumia pakubwa, hakutokwa na damu maana yake kaumia kwa ndani, alipigwa kwenye paji la uso, ubongo wa mbele uliumia? jibu linaweza kuwa ndio kwa sababu hakuweza kunyanyuka wala kutembea, endapo itakuwa kweli basi tegemeeni mambo magumu kiufupi maombi yanahitajika lile tukio ni kubwa sana japo kuwa wengi hamkulichukulia serious.