Hot news iliyopo sasa ni tukio la mwanamama aliyeshindwa kuhimili pressure na misukosuko hivyo aliamua kwenda kwa mganga ili amsaidie nyumba waliyokuwa wanaishi isipigwe mnada.
*Awali ya yote nina wasiwasi huenda mwanamama yule aliingia mtego tu kwa mashuhuda wanasema yule mama alikuwa anaongea na simu wakati anaratibu tukio huko ukonga.Kweli mganga anatoa maelekezo kupitia simu?
Kuna mchezo umezuka ya message kutumwa na watu wasiojulikana wakijidai ni waganga wenye uwezo wa kutoa mikosi ,kutoa utajiri na ukipatwa tamaa ukiwatafuta wanakuambia uwatumie hela ,majina 3 na shida kisha wanakupa maelekezo ya uongo kisha inakula kwako naamini wengi wameshakutana na messages hizi kwenye simu,huenda mwanamama huyu wakati yupo na stress,mawazo alitumiwa SMS hii na kutokana na shida na panic akaingia kwenye mtego wa matapeli wale ndio maana akawa anapewa maelekezo feki kupitia simu
Nina wasiwasi huyu mama aliingia kwenye mtego tu ya sms ya utapeli wa waganga feki .
Na kama kweli alienda kwa mganga basi mganga yule aliona mbali ,huyu jamaa huenda akapata huruma ya wananchi na TRA maana hili suala imewagusa wengi na akahurumiwa.
*Awali ya yote nina wasiwasi huenda mwanamama yule aliingia mtego tu kwa mashuhuda wanasema yule mama alikuwa anaongea na simu wakati anaratibu tukio huko ukonga.Kweli mganga anatoa maelekezo kupitia simu?
Kuna mchezo umezuka ya message kutumwa na watu wasiojulikana wakijidai ni waganga wenye uwezo wa kutoa mikosi ,kutoa utajiri na ukipatwa tamaa ukiwatafuta wanakuambia uwatumie hela ,majina 3 na shida kisha wanakupa maelekezo ya uongo kisha inakula kwako naamini wengi wameshakutana na messages hizi kwenye simu,huenda mwanamama huyu wakati yupo na stress,mawazo alitumiwa SMS hii na kutokana na shida na panic akaingia kwenye mtego wa matapeli wale ndio maana akawa anapewa maelekezo feki kupitia simu
Nina wasiwasi huyu mama aliingia kwenye mtego tu ya sms ya utapeli wa waganga feki .
Na kama kweli alienda kwa mganga basi mganga yule aliona mbali ,huyu jamaa huenda akapata huruma ya wananchi na TRA maana hili suala imewagusa wengi na akahurumiwa.