Huenda Ndugai alikuwa anajua tulichokuwa hatukijui, sasa tunakiona cha mtema kuni

Ndugai hana usafi au uzuri wakutuambia au kutufundisha chochote maana naye ni sehemu ya wahuni tu but in different time.

Wapo kwenye moral authoriy yakusema neno, sio yule jamaa mhuni mhuni.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapumbavu walishangilia Ndugai kuzodolewa, wakisema ni sukuma gang anakomeshwa!

Kauli ya Ndugai itaishi sana tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapumbavu walishangilia Ndugai kuzodolewa, wakisema ni sukuma gang anakomeshwa!

Kauli ya Ndugai itaishi sana tu
Itaishi kwenye nanii zako kama yule muovu jiwe
 
Kwenye ishu ya kulipa Kodi mm Naungana na serikali, hii itatufanya Kama nchi tuwe na Deni la Taifa himilivu zaidi na siku moja bajet ya serikali itaweza kuendeshwa kwa Kodi zetu wenyewe. Tulipe Kodi kwa maendeleo yetu wenyewe.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
 
Mkuu mbona kama ndugai alikuwa anataka tozo ziwepo au sijaelewa hapo?

Amesema tozo ziwepo ili tuijenge nchi yetu wenyewe sasa huyu alikuwa na huruma na sisi wananchi au ni vipi?

Me naona wale wale tu.
Swadaktaaa, hiki ndo alichomaanisha kabisaaa
 
Bandari is no more ni matter of time [emoji21]
 
Hana usafi wowote .

Huyu anaujua mkakati mkuu wa covid 19 na mpango wa dikteta kutawala bila ukomo.

He has no moral probity to lecture anyone on matters pertaining to the rule of law .
 
Alikuwa sahihi kabisa.................kushambuliwa kwenye maoni yake kisha kuondolewa kwenye kiti kwa shinikizo ulikuwa ni unyama sana na chama chake
 
Hana usafi wowote .

Huyu anaujua mkakati mkuu wa covid 19 na mpango wa dikteta kutawala bila ukomo.

He has no moral probity to lecture anyone on matters pertaining to the rule of law .
Unatetea ushetani uliopo kwa kuwa unalamba asali subiri ifike kiangazi nyuki waanze kutafuta maua yenye malighafi utaukimbia mzinga bila kupenda
 
Unatetea ushetani uliopo kwa kuwa unalamba asali subiri ifike kiangazi nyuki waanze kutafuta maua yenye malighafi utaukimbia mzinga bila kupenda
Mashetani wanajuana kwa ushetani wao siwezi kuwa miongoni mwao Ndugai hana usafi wa kuzungumzia uchafu wa awamu ya 6 huku akimezea uchafu awamu ya 5.

Kwangu mimi awamu ya 5&6 ,ni za hovyo na pia hazikuingia madarakani kwa kuchaguliwa na wananchi.
 
Ndugai alimsaliti mama na tulimshughulikia kwa taratibu za chama๐Ÿ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ