William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Sielewi anapambana na nani, kwanini na kwa sapoti ya nani? Na vipi anaweza kutumia vyombo vya habari vya CCM kujenga falsafa binafsi za siasa.
Kama ni mpinga utawala uliopo anangoja Nini kujiondoa CCM.
Kila nikitafakari namuaona ni uvimbe ndani ya CCM.
Kama ni mpinga utawala uliopo anangoja Nini kujiondoa CCM.
Kila nikitafakari namuaona ni uvimbe ndani ya CCM.