Huenda Polepole ni changa la macho. Huenda ni upinzani feki unaojengwa na CCM yenyewe

Huenda Polepole ni changa la macho. Huenda ni upinzani feki unaojengwa na CCM yenyewe

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Sielewi anapambana na nani, kwanini na kwa sapoti ya nani? Na vipi anaweza kutumia vyombo vya habari vya CCM kujenga falsafa binafsi za siasa.

Kama ni mpinga utawala uliopo anangoja Nini kujiondoa CCM.

Kila nikitafakari namuaona ni uvimbe ndani ya CCM.
 
Huenda, mambo ni mengi sana na muda ni mchace.
 
Back
Top Bottom