Huenda Rais Samia anahujumiwa kwenye treni ya mwendokasi, hatua zichukuliwe mapema

Huenda Rais Samia anahujumiwa kwenye treni ya mwendokasi, hatua zichukuliwe mapema

Kifurukutu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
4,641
Reaction score
6,694
Kwa yanayoendelea kuhusu mradi wa SGR kuanza kwa kusuasua hatua za awali kabisa hii ni hujuma kwa Rais kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu

Figisu zimeanza mapema mno na hii yote ni kutaka ionekane mama amefail, kitu ambacho kinawaumiza watanzania wengi

Rais chukua hatua mapema, bado umezungukwa na wasiokupenda wala kuitakia mema nchi hii, pitisha fagio kwa wote wanaohujumu usafiri huu wa kisasa
 
binafsi naona kukatika umeme hatuwezi kuanza kusema ni hujuma ila tungewakumbusha tu, kama ule mfumo wa Diesel upo uwezeshwe, ili umeme ukikatika utumike...
Hata hivyo tunajua Serikali hawajui kufanya Biashara kwani huwa na matumizi mengi kuliko mapato na pia
kuweka urasimu mwingi kwenye kufanya maamuzi hata yale madodo madogo pengine ni kuogopa kuibiwa
 
Wewe unanunua mitumba uliotumika miaka kumi Korea ulitegemea isizimike?.huyu mama anatuhujumu wtz Kwa kuzitumia hovyo Kodi zetu na anasitahili kufunguliwa mashitaka kabisa.
 
Wewe unanunua mitumba uliotumika miaka kumi Korea ulitegemea isizimike?.huyu mama anatuhujumu wtz Kwa kuzitumia hovyo Kodi zetu na anasitahili kufunguliwa mashitaka kabisa.
kwahiyo shida sio umeme tena?, wabongo tunajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom