Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wabongo wakiamua kuhype mambo. Ni utendaji gani wa kutukuka husifiwa huyu sisteri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kujua?!Noti ina saini ya Waziri na Gavana wa BOT ?
Siasa za Tanzania ni lazima uwe na uwezo wa kujizima data a.k. a kuahirisha kufikiri kizalendoKwa Sasa ndiye Afisa Mtendaji mkuu wa NMB
Benki yenye Mafanikio makubwa sana
Amekuwa akisifiwa sana na Rais Samia Kwa Utendaji Wake Uliotukuka
Sabato njema 😃
Kwako Lucas Mwashambwa
Ni mjinga tu anaweza kuacha nafasi yenye security of tenure kwenda nafasi ambayo mteuaji mwenyewe hawezi kuwa guarantor. Simshauri aingie mtego huo.Kwa Sasa ndiye Afisa Mtendaji mkuu wa NMB
Benki yenye Mafanikio makubwa sana
Amekuwa akisifiwa sana na Rais Samia Kwa Utendaji Wake Uliotukuka
Sabato njema 😃
Kwako Lucas Mwashambwa
Ruth ni mchaMungu sana anafaa sana kwenye hiyo nafasiKwa Sasa ndiye Afisa Mtendaji mkuu wa NMB
Benki yenye Mafanikio makubwa sana
Amekuwa akisifiwa sana na Rais Samia Kwa Utendaji Wake Uliotukuka
Sabato njema 😃
Kwako Lucas Mwashambwa
Ataipata 🐼Ruth ni mchaMungu sana anafaa sana kwenye hiyo nafasi