Kukamua mishahara ya wafanyakazi ni kazi rahisi, kuliko kuendesha uchumi wa nchi.
Wajaribu waone, ndio aelewe kazi ya kutunga uongo serikali ipo vizuri wakati mambo ni vulu-vulu kama ni rahisi.
Kuendesha banks za Tanzania ni shughuli nyepesi, uhitaji creativity yoyote na wala kuchukua hata moderate risks.
Unachohutaji ni kufanya biashara na serikali kukwamua sehemu ya tsh 700 kwa mwezi ya mishahara wanayotoa kwa wafanyakazi. Kutumia savings zao kuwakopesha wao wenyewe kupitia bonds na nyingine kidogo kukopeshea biashara.
Vinginevyo hakuna la maana wanalofanya ndio maana kasi ya ukuaji wa viwanda ni ndogo Tanzania. Sehemu kubwa ya shughuli za bank ni biashara na serikali.
Ndio maana Magufuli alikuwa nuksi kwao, jamaa angeinyoosha Tanzania.