Basi tutegemee wasanii wengi sana kwenda kusomea Uandishi wa habari mmoja wapo uyo Steve Nyerere
Kwani hata mtu aliyepata ziro si ananafasi ya kuendelea kimasomo ama inakuwaje hapoKwa vyeti vipi vya f4?
Kwani hata mtu aliyepata ziro si ananafasi ya kuendelea kimasomo ama inakuwaje hapo
Kuna fondution katika kila kozi ujueSidhani....kuingia chuo wana credentials zao wanazohitaji
QTSidhani....kuingia chuo wana credentials zao wanazohitaji
dah fondution kweli zipo ila sio foundation ya division 0.....viatu vya kitenge vimempwaya paleKuna fondution katika kila kozi ujue
Na yeye si aliachana na mke wake so hiyo chemistry tayariYuko bize na mtalaka wa MTU Fulani mbezi, kaolewa kwa jimama lililoachana na mmewake mwaka juzi kule Bunju.