Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani....kuingia chuo wana credentials zao wanazohitaji
ImenishangazaKumbe huyu jamaa ni mtongozaji wa radio??
Ulitaka kumaanisha mtangazaji au?Kumbe huyu jamaa ni mtongozaji wa radio??
Kwani certificate hawezi kuanza na form fourKwa vyeti vipi vya f4?
Kwani certificate hawezi kuanza na form four
KafikaKwani Tivu ake f4 kafika?
Yupo Chato/Burigi na Mzee wa matunguli. Baadaye wamekuwa wakitembelea kisiwa cha Saanane.Kutokana na tangazo lililotolewa na mamlaka juzi hapa kuhusu baadhi ya stations za radio hapa nchini kuhusu watangazaji wasio na vigezo kutangaza redioni naona sasa huenda aliekuwa mtangazaji kipindi cha magazeti Efm kunyambua na kunyumbulisha bwana Stive Migere aka Nyerere kwa sasa tangu jana hayupo yena nawasikia hapa bwana @handle Musa kipanya na Baby Mama wanakomaa wenyewe hadi kipindi kimepwaya
Kipanya wa wapi?Kutokana na tangazo lililotolewa na mamlaka juzi hapa kuhusu baadhi ya stations za radio hapa nchini kuhusu watangazaji wasio na vigezo kutangaza redioni naona sasa huenda aliekuwa mtangazaji kipindi cha magazeti Efm kunyambua na kunyumbulisha bwana Stive Migere aka Nyerere kwa sasa tangu jana hayupo yena nawasikia hapa bwana @handle Musa kipanya na Baby Mama wanakomaa wenyewe hadi kipindi kimepwaya
Ma j. Si anawabania ndio maana wasafi inazidi kukimbiza kila kukichaHiyo ndo ile redio inataka kumlipa Chid Benz Tsh. 50,000 kwa show?
Sent using Jamii Forums mobile app